Tanzania: Frederick Sumaye kugombea urais 2015

Nchini Tanzania, siku chache baada ya mwanasiasa kijana na naibu waziri January Makamba kutangaza nia ya kugombea urais mwaka 2015, sasa waziri mkuu wa zamani Frederick Sumaye amejitokeza akisema atagombea wadhifa huo.

Zaidi kuhusu tangazo hilo la Sumaye na kile kinachoonekana kuwa ni kuanza kinyang'anyiro katika chama tawala nchini Tanzania CCM, anaripoti mwandishi wetu Guiji la habari. Kusikiliza ripoti hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

SAUTI NA VIDIO KUHUSU MADA

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Ujerumani yanyakua Kombe la nne la Dunia

Abu Bakr al-Baghdadi: Nguo ya ndani ya kiongozi wa IS 'iliibiwa' kufanya uchunguzi wa DNA

HILI NDILO BIFU KUBWA KATI YA RIHANA NA NICK MINAJ.