Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Julai, 2014

Muda Sahihi Wa Kufanya Mapenzi Ni Upi?

Picha
Somo hili linaweza kukushangaza msomaji wangu, kutokana na ukweli kwamba ufanyaji mapenzi, hauwezi kuupangia muda, lakini katika hali ya kawaida ipo tofauti kubwa ya kufanya mapenzi, mchana, usiku, alfajiri na nyakati za joto na kelele nyingi za wapita njia. Utofauti huu ndiyo unaweza kutofautisha hali ya kufurahia tendo kati ya mtu na mtu. Hakuna ubishi kwamba watu wanaofanya mapenzi nyakati za joto, hupoteza msisimko wa tendo si tu kwa sababu ya kuchoka haraka bali hata kwa kukinai harufu ya jasho liwatokalo mwilini. Sababu hiyo na nyingine nyingi, zitokanazo na kutojua muda sahihi wa kufanya tendo la ndoa, zimewafanya wapenzi wengi kushindwa kuridhika au kupata raha stahili wakati wa kujamiiana na wapenzi wao, jambo ambalo linanipa sababu ya kufundisha muda sahihi wa kufanya mapenzi ni upi? Kwa mujibu wa uchunguzi wa wataalamu wetu, ambao pia ulitiwa nguvu na machapisho mbalimbali yaliyotolewa kwenye magazeti  ulibainika kuwa muda muafaka wa wapenzi kufanya tendo la nd

Jinsi Ya Kumnasa Anayekuficha Tabia Zake Mbaya

Picha
Ni tatizo ambalo limekuwa likiwakuta wapenzi wengi wanaoanzisha uhusiano wa kimapenzi wenye mwelekeo wa maisha ya ndoa ni kuingizwa ‘mkenge’ kwa kufichwa baadhi ya tabia mbaya na wapenzi wao. Wapenzi wanaoficha tabia wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa kuteka mapezni ya watu, lakini baadaye wakishafanisha azma yao hujiachia na kuanza kuwatesa wenzao. “Sikujua kabisa kama ana tabia hizi, ningetambua mapemakama ni mhuni nisingekubali kuoana naye.” Uchunguzi unaonyesha kuwa wanandoa wengi mpaka sasa wanajuta kufunga ndoa na wapenzi wao na kwamba kamawangetambua tabia za wenza wao mapema wasingekubali kufunga ndoa. Inawezekana hata wewe unayesoma makala haya unajuta kiasi cha kulalamikia mwenzako alivyobadilika tabia tofauti na mwanzo ulivyoanza kupendana naye. Hebu fuatilia dondoo hizi ili ujue namna ya kumtabua mpenzi anayekufichia makucha, ili usijiingize kwenye uhusiano usiokuwa sahihi. MPE UHURU WA KUTOSHA Watu wengi wanapoanzisha uhusiano huwabana sana wapenzi wao kwa kuwape

Aina 10 Ya Vyakula Vinavyoongeza Uwezo Katika Tendo La Ndoa

Picha
Tatizo la uwezo wa kufanya tendo la ndoa linazidi kukua miongoni wa wanandoa na wapenzi wengi. Takwimu za kitafiti zinaonyesha kuwa karibu ndoa 4 kati ya 10 zenye umri wa miaka 3 na kuendelea zinakabiliana na tatizo hili. Aidha wanaume 6 kati ya 10 wanatajwa kulalamikia upungufu wa nguvu za kiume na kuacha idadi ya wanawake wanaokabiliwa na tatizohilo kwa mujibu wa uchunguzi kubaki na asilimia 13. Pamoja na matatizo mengine kutajwa kuchangia upungufu wa nguvu za kiume na kushuka kwa msisimko wa tendo miongoni mwa wanandoa, uchunguzi umeonesha kuwa utumiaji holela wa vyakula hasa vyenye mafuta ni moja kati ya sababu zinazochangia kwa kasi tatizo hili. Kwa kuzingatia hilo, watafiti wa masuala ya uhusiano wa kimapenzi wamebaini aina kumi ya vyakula ambavyo vina uwezo wa kumuongezea mtu nguvu ya kufanya tendo la ndoa. Vyakula hivyo ni hivi vifuatavyo:   PILIPILI Pilipili zilizocheshwa zimetajwa kuwa na uwezo wa kusaidia msukumo wa usambazaji damu mwilini, am

LAANA: BIBI HARUSI AFANYA UFUSKA BAADA YA KUFUNGA NDOA, AGAWA URODA KWA VIDUME

Picha
Habari kubwa iliyotawala katika Kitongoji cha Magomeni Mapipa, jijini Dar es Salaam ni kitendo cha mwanamke mmoja aliyetajwa kwa jina moja la Aluwia (pichani) kufanya ufuska wa aina yake ikiwa ni siku chache baada ya kufunga ndoa, Amani linakupa A-Z. Mwanamke huyo ambaye anadaiwa kuolewa siku chache zilizopita, alifanya vitendo hivyo vinavyotia kinyaa akiwa na mwanaume ambaye hakuweza kufahamika mara moja kisha uchafu huo kurekodiwa kwenye CD. Gazeti hili lilifanikiwa kuinasa CD hiyo ambayo kwa sasa imezagaa katika mitaa ya Jiji la Dar huku ikigawiwa bure na baada ya kuiangalia, lilikutana na mambo ya ajabu yasiyoweza kufanywa na mtu anayejiheshimu. Ndani ya kifaa hicho, kwa kiasi kikubwa anaonekana Aluwia akifanya ‘usodoma’ na ‘ugomora’ na mwanaume ambaye haonekani sura huku mwanamke huyo akionekana kulifurahia tendo hilo. Wakilizungumzia sakata hilo, baadhi ya watu waliodai kumfahamu mwanamke huyo walielezea kusikitishwa na kitendo hicho na kusema kuwa, hawakuami

MALIKIA HUYU ANATAFUTA MCHUMBA ILA VIGEZO VYAKE NOMA SANAAAA! BOFYA UVIOUNE

Picha
"Mimi ni Mariamu Masalalo, mkazi wa Mbezi Beach, Dar es salaam, Tanzania. Nina umri wa miaka 21 na nina elimu ya kidato cha Sita. Kwa sasa hivi ninasimamia biashara za baba yangu zilizopo maeneo ya Sinza na Kariako, Dar es salaam. Mimi nina tatizo moja tu na ndiyo maana nikamtafuta mzee wa Tamutamu anisaidie kwa kuniunganisha na ninyi.....NINATAFUTA MPENZI AMBAYE HATIMAYE ATAKUWA MUME WANGU! Kama unataka kuniangalia, kunigeuza na kunichungulia kila eneo la mwili wangu vizuri, bofya hapo pembeni ama juu kwenye maneno yanayo badilika badilika. Kwa mfano maneno kama dounirodi au pleyi!   Niangalie kila eneo la mwili wangu utaona kuwa sina dosari kwani kauso kangu ni kazuri, nina shepu umbo namba nane, na pia chuchu zangu bado zimesimama kama binti anayevunja ungo. Uzuri na ubichi wangu huu unachangiwa na mimi kujitunza sana toka nilipoingia kwenye usichana! Kwa sifa za jikoni ndo usiseme kabisa kwa sababu ninauwezo wa kupika chakula cha aina yeyote na kikanoga mpaka mume

HAKIKA HIZI NDO PICHA NZURI ZAIDI ZA WEMA AKIWA NA OMMY DIMPOZ

Picha

BARACK OBAMA KIBOKO CHEKI JINSI ALIVYO WATOROKA POLICE ...NA KWENDA KULA MGAHAWANI

Picha
Raisi wa marekani Barak Obama kwa mara nyingine, ametokea kuvunja sheria zake za kama raisi na kujichanganya na wananchi wa kawaida kama ilvyo tabia yake, hivyo kutokea kuwapa shida walinzi wake. Barack Obama aliwatoroka walinzi wake na kwenda kununua burger katika moja ya migahawa inayotumika na wananchi wa kawaida, tukio hilo lilizua uwepo mkubwa wa ulinzi kwa muda mchache tu..ikiwa hii ni mara ya pili kwa tukio kama hilo kutokea…angalia kipande hiki cha video kikionyesha tukio>>> ASANTE KWA KUPATA HUDUMA ZETU,TUNAKUOMBA BOFYA LIKE KUUNGANA NASI FACEBOOK

WALICHO WAFANYIA MICHELLE OBAMA NA MUMEWE OBAMA MMH!!,HATA UWE KAUZU LAZIMA UCHEKE, TAZAMA PICHA HAPA!

Picha
W   ASANTE KWA KUPATA HUDUMA ZETU,TUNAKUOMBA BOFYA LIKE KUUNGANA NASI FACEBOOK

BREAKING NEWS: WATU ZAIDI YA 14 WAMEFARIKI PAPO HAPO LEO KATIKA AJALI YA BASI LA MORO BEST

Picha
 Baadhi ya Miili ya Marehemu muda mchache baada ya kupata ajali wakiwa wanangojea kupelekwa Hospitali.  Baadhi ya wasamalia wema wakiwa wanaendelea kuokoa majeruhi na kuwaondoa waliofariki  Picha zaidi>>

HAKIKA LADY JAYDEE NI KIBOKO YA DIAMOND CHEKI YEYE STYLE ATAKAYO KUJA NAYO NA TUZO YAKE TOKA MAREKANI

Picha

SASA MOTO WA MAN UNITED NI BALAA...CHEKI WALIVYO ITANDIKA INTER MILAN BAO 5-3

Picha
Mauro Icardi #9 wa Inter Milan akiangushwa na  Ander Herrera #21 wa Manchester United katika kipindi cha kwanza cha mchezo kwenye mechi za  International Champions Cup 2014 mechi iliyochezewa   katika uwanja wa  FedEx siku ya Jumanne July 29, 2014 Landover, Maryland.nchini Marekani. Shinji Kagawa #26 wa Manchester United akikimbia na mpira wakati timu yake ilipocheza na  Inter Milan  kwenye mechi za  International Champions Cup 2014 mechi iliyochezewa katika uwanja wa  FedEx siku ya Jumanne July 29, 2014 Landover, Maryland.nchini Marekani.na. Manchester United kuibuka mshindi wa bao, 5-3, magoli ya matuta baada ya dakika 90 kutoka droo. Nani #17 wa Manchester United akimlamba chenga Juan Jesus #5 wa Inter Milan  kwenye mechi za  International Champions Cup 2014 mechi iliyochezewa katika uwanja wa  FedEx siku ya Jumanne July 29, 2014 Landover, Maryland.nchini Marekani.na. Manchester United kuibuka mshindi wa bao, 5-3, magoli ya matuta baada ya dakika 90 kutoka droo.

HAKIKA HUYU NDO BILIONEA ANAYE TISHIA KWA UTAJIRI DUBAI

Picha
In Dubai is not unusual to see a cheetah as copilot … or a lion … Tigers also, of course There is a good express shuttle There, the Lions sail boat … and rest on luxury cars The same luxury cars used by police … also bathe gold … Gold is issued in automatic machines, typical And the Luxury is up in the trash Tigers in traffic jams greet Riding on a lion? Clear But you better not hit the road, there may be too much traffic But will it take to go to the bathroom Or get something to take And taking it waiting in the car

UNAAMBIWA MDADA MUUZA SURA HAMISA MOBETO KUWEKWA NDANI AUGUST

Picha
Wanasema kimya kingi kina mshondo baada ya kudaiwa, hapo mwanzo ilidaiwa kua Hamisa Mobeto alikua akichepuka na Bwana Almas aka Dangote aka Diamond au Chibu kama mwenyewe anavyopenda kujiita. Lakini baada ikaja kujulikana kua yalikua ni maneno ya wabongo. Habari za kuaminika ilizozipata ni kua kwa sasa Mwanadada Hamisa kazama kabisa kwenye penzi zito la Seth De Jesus Giovan almaarufu kama Bikira wa kisukuma.   Mmoja wa mashostito wa wapenzi hao ambaye hakupenda jina lake litajwe alisema kua Hamisa keshatambulishwa nyumbani kwao na Bikira na kilichobaki ni tukio la kuvishana pete na ndoa tu ambapo inanyetishwa tukio laweza jiri mwezi August!Stay tuned!

Kinu pekee cha umeme Gaza chashambuliwa; Umoja wa Mataifa mko wapi?

Picha
Israel imeendelea na mashambulizi yake dhidi ya Gaza, sasa ikilenga miundombinu, ambapo hivi leo kinu pekee ya kuzalishia umeme kimeshambuliwa sambamba na nyumba ya kiongozi wa Hamas, Ismael Haniya. Moshi ukifuka kutoka kinu cha umeme cha Gaza kilichoshambuliwa na Israel usiku wa kuamkia tarehe 29 Julai 2014. Naibu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Nishati ya Palestina, Fathi al-Sheikh Khalil, ameliambia shirika la habari la AFP kwamba kinu hicho cha umeme kimesita kufanya kazi kutokana na mashambulizi ya Israel usiku wajana, ambayo yaliliharibu jenereta na matangi ya mafuta ambayo yaliripuka kabisa. Mwandishi wa AFP ameshuhudia moto mkubwa karibu na kinu hicho asubuhi ya leo, akisema kwamba idara ya zimamoto hadi wakati huo ilikuwa haijaweza kulifikia eneo hilo. Mashambulizi dhidi ya kinu hicho pekee yanaongezea madhila tu juu ya jaala ya Gaza ambayo kwa siku ya 22 sasa imekuwa ikitwangwa makombora ya Israel mfululizo. Kuharibiwa kwa kinu hicho kunamaanisha pia kwamba hudum