RAISI KAGAME AWEKA WAZI KUWA YEYE NA TANZANIA DAMU DAMU

Rais Kagame azungumzia uhusiano kati ya Rwanda na Tanzania

Rais wa Rwanda Paul Kagame amesema kwamba Rwanda na Tanzania ni mataifa ndugu na yataendelea kuwa ndugu kwa sababu yanachangia udugu huo.
Rais Paul Kagame wa Rwanda
Rais Paul Kagame wa Rwanda
Rais Paul Kagame ameyasema hayo mjini Kigali kwenye kikao na waandishi wa habari.Nchi za Rwanda na Tanzania zilikabiliwa na wakati mgumu kuanzia mwaka jana kutokana na kutofautiana kuhusu kundi la waasi wa kihutu la FDLR linaloendesha mambo yake mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo dhidi ya utawala mjini Kigali.
Mwandishi wetu Sylivanus Kalemera kutoka Kigali ana ripoti zaidi. Kusikiliza ripoti hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni

SAUTI NA VIDIO KUHUSU MADA

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Ujerumani yanyakua Kombe la nne la Dunia

Abu Bakr al-Baghdadi: Nguo ya ndani ya kiongozi wa IS 'iliibiwa' kufanya uchunguzi wa DNA

HILI NDILO BIFU KUBWA KATI YA RIHANA NA NICK MINAJ.