SASA MOTO WA MAN UNITED NI BALAA...CHEKI WALIVYO ITANDIKA INTER MILAN BAO 5-3


Mauro Icardi #9 of Inter Milan is tripped up by Ander Herrera #21 of Manchester United in the first half during their match in the International Champions Cup 2014 at FedExField on July 29, 2014 in Landover, Maryland.
Mauro Icardi #9 wa Inter Milan akiangushwa na  Ander Herrera #21 wa Manchester United katika kipindi cha kwanza cha mchezo kwenye mechi za  International Champions Cup 2014 mechi iliyochezewa katika uwanja wa  FedEx siku ya Jumanne July 29, 2014 Landover, Maryland.nchini Marekani.
Shinji Kagawa #26 of Manchester United dribbles up the field against Inter Milan in the second half during their match in the International Champions Cup 2014 at FedExField on July 29, 2014 in Landover, Maryland. Manchester United won, 5-3, in a penalty shootout.
Shinji Kagawa #26 wa Manchester United akikimbia na mpira wakati timu yake ilipocheza na  Inter Milan  kwenye mechi za  International Champions Cup 2014 mechi iliyochezewa katika uwanja wa  FedEx siku ya Jumanne July 29, 2014 Landover, Maryland.nchini Marekani.na. Manchester United kuibuka mshindi wa bao, 5-3, magoli ya matuta baada ya dakika 90 kutoka
droo.
Nani #17 of Manchester United dribbles past Juan Jesus #5 of Inter Milan in the second half during their match in the International Champions Cup 2014 at FedExField on July 29, 2014 in Landover, Maryland. Manchester United won, 5-3, in a penalty shootout.
Nani #17 wa Manchester United akimlamba chenga Juan Jesus #5 wa Inter Milan
 kwenye mechi za  International Champions Cup 2014 mechi iliyochezewa katika uwanja wa  FedEx siku ya Jumanne July 29, 2014 Landover, Maryland.nchini Marekani.na. Manchester United kuibuka mshindi wa bao, 5-3, magoli ya matuta baada ya dakika 90 kutoka droo.
Darren Fletcher #24 of Manchester United celebrates with teammates after scoring the game-winning goal in penalty shootouts against Inter Milan during their match in the International Champions Cup 2014 at FedExField on July 29, 2014 in Landover, Maryland. Manchester United won, 5-3, in a penalty shootout.
Darren Fletcher #24 wa Manchester United akishangilia na wachezaji wenzake baada ya kufunga penati ya ushindi  kwenye mechi za  International Champions Cup 2014 mechi iliyochezewa katika uwanja wa  FedEx siku ya Jumanne July 29, 2014 Landover, Maryland.nchini Marekani.na. Manchester United kuibuka mshindi wa bao, 5-3, magoli ya matuta baada ya dakika 90 kutoka droo. Picha na Zimbio

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Ujerumani yanyakua Kombe la nne la Dunia

Abu Bakr al-Baghdadi: Nguo ya ndani ya kiongozi wa IS 'iliibiwa' kufanya uchunguzi wa DNA

HILI NDILO BIFU KUBWA KATI YA RIHANA NA NICK MINAJ.