Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Februari, 2015

Ommy Dimpoz akijibu kuhusiana na picha zilizo enea akiwa na Ex wa Diamond Platnumz 'Wema Sepetu' kitandani

Picha
Miongoni mwa stori zilizochukua headline mitandaoni hata kwenye magazeti ni kuhusu picha ya hitmaker wa ‘Ndangushima’ Ommy Dimpoz akiwa na ex wa Diamond Platnumz ,Wema Sepetu kitandani wamelala pamoja na picha zingine zilizozua mjadala mkubwa. Ommy Dimpoz amefanya mahojiano na mtangazaji wa Radio Clouds FM kwenye kipindi cha Amplify ambapo mahojiano yake na mtangazaji huyo 'Millard Ayo' yalikuwa kama ifuatavyo. " Ni picha tu mimi naona kama ni picha zingine tu za kawaida,  sasa nimeshindwa kuelewa kwanini labda zimetengeneza sana stori  kwasababu mimi naona sio mara yangu kwanza kupiga picha na Wema hata uki google utaona tunapicha nyingi sana kwa hiyo sijaelewa kwanini zimeleta stori May be nafikikiri zilizotengeneza stori zaidi ni hizi ambazo zinaonesha tuko chumbani kwasababu mimi nilikuwa nimelala kiukweli  na tulikuwa tunakaa kwenye apartment moja nilikua nimeshtukia picha zipo kwenye mitandao unajua unavyokaa kwenye apartment kwasababu tulie

Wema Ana Mimba?!!! Hebu Jionee Picha Hizi Zinazosambaa Mtandaoni!!!

Picha
Wema Ana Mimba?!!! Hebu Jionee Picha Hizi Zinazosambaa Mtandaoni!!! Hizi ni picha za mwigizaji Wema Sepetu ambazo zinasamabaa kwa kasi huko Instagram zikionyesha watu wakiwa wamemshika tumbo kwa nyataki tofauti  huku wote sura zao zikiwa hazionekani. Moja kati ya akaunti  kwenye mtandao huo inayoendeshwa na shabiki mkubwa wa Wema, inayokwenda kwa jina la  WEMADAILY, ilizitupia picha hizi na kuandika mameno “ NITOBOEEE ” kuachilia kuwa anataka aseme jambo nakum “tag”Wema. Baada ya muda kidogo akaibuka tena na kutupia picha nyingine nakusema ameambiwa asitoboe. Akaunti hii ndio ilikuwa ya kwanza kutoa picha za  Wema akiwa na mpenzi wake mpya Ommy Dimpoz. Comments za mashabiki ndio zilizoshtua watu kwani karibu watu wote walikuwa wakifurahia  na kupongeza ‘Madame’kwa kupata katumbo na wengine wakilalamika kuwa kitaanza kumuhalibia magauni MISS wao. Swali je kama ni kweli, nani atakuwa muhusika wa ujauzito h

SIKIA HII! Samsung yakiri Tv zao zinanasa sauti.

Picha
Samsung imewaonya wateja wake kuhusu kutojadili mambo yao ya kibinafsi mbele ya televisheni zao Samsung imewaonya wateja wake kuhusu kutojadili mambo yao ya kibinafsi mbele ya televisheni zao. Onyo hilo ni kwa wale watazamaji ambao hudhibiti televisheni zao kwa kutumia sauti. Baadhi ya runinga hizo za kisasa husikiliza mambo ambayo wanasema na zinaweza kuwasilisha ujumbe kwa Samsung au mashirika yanayohusiana na Samsung kibiashara.. Onyo hilo limetolewa baada ya habari kuchapishwa katika gazeti la mtandao "Daily Beast" iliyochapisha sehemu ya sera za Samsung zinazosimamia umiliki wa kibinafsi wa televisheni zao. Sera hiyo inaelezea kwamba televisheni hizo zitakuwa zinasikiliza watu katika chumba kimoja wakijaribu kutoa amri na maswali kutumia vibonyezi. ''Iwapo maneno ambayo umeyatamka ni ya kibinafsi au ya kisiri , basi ujue kuwa habari hiyo itakuwa kati ya habari zilizonaswa na kusambazwa

Kali ya Mwaka Mkuu wa mkoa wa Mwanza,Mulongo aliyeweka Ulinzi kama wa Rais

Picha
  Mkuu wa mkoa wa Mwanza,Magesa Mulongo,ambaye nimwakilishi wa Rais Jakaya Kikwete mkoani hapo,amebuni aina mpya ya Ulinzi wake binafsi pamoja na msafara wa magari unaoambatana naye anapokuwa katika ziara yake za kikazi Aina hiyo ya ulinzi na msafara unaofanana kwa kiwango kikubwa na ule wanaopewa viongozi wakuu wa kitaifa,akiwemo Rais na Waziri Mkuu,ni wa kwanza kushuhudiwa na wakazi wa mkoani hapa na umedaiwa kuigharimu kiasi kikubwa cha Pesa

BARCELONA FC WANAKUJA BONGO NA WATACHEZA TAREHE 28/3/2015 UWANJA WA TAIFA NA NYOTA WATANZANIA SOMA HAPA

Picha
 Mshambuliaji wa zamani wa FC Barcelona na timu ya Taifa ya Uholanzi Patrick Kluivert alizungumzia ujio wa magwiji FC Barcelona nchini mwezi wa tatu mbele ya waandishi wa habari kwenye mgahawa wa Sports Lounge uliopo jijini Dar Es Salaam ,Pembeni ya Kluivert ni mwenyekiti wa DRFA Ndugu Almas Kasongo. Magwiji hao wa Barcelona wanataraji kucheza na wachezaji nyota wa Tanzania kwenye uwanja wa Taifa mnamo mwezi wa machi tarehe 28.   Mwenyekiti wa chama cha soka mkoa wa Dar Es Salaam,Almasi Kasongo akizungumza kwenye mkutano huo katikati na mwakilishi wa FC Barcelona pamoja na Mwakilishi wa kampuni ya Prime Time Promotions Stuart Kambona ambao ni waratibu wa mchezo huo.  Baadhi ya Wanahabari wakiwa kwenye mkutano huo mapema leo asubuhi Timu ya wachezaji nyota wa zamani wa Barcelona FC watacheza na wachezaji wa zamani wa Tanzania, Tanzania All Stars Machi 28 kwenye uwanja wa Taifa jijini.Mwakilishi wa wachezaji wa zamani wa Barcelona, Patri

BARACK OBAMA WA PILI AZIDI KUJICHUKULIA UMAARUFU NCHINI KWAO

Picha
Mtu mmoja muindonesia ambaye muonekano wake anafanana sana na Rais wa marekani Barack Obama, amekuwa gumzo sana nchini kwao na kujichukulia sana umaarufu mkubwa. Mtu huyo mwenye familia ya mke na watoto wawili amekuwa maarufu sana ambapo kila mu nchini kwao anatamani kupiga naye picha za kumbukumbu. kweli duniani ni wawiliwawili... Mtu huyo anajitahidi mpaka kuiga swaga za Rais Barack Obama kila anapojitokeza mtaani na kukutana na watu. Endela kufuatilia modesigntz Beste wangu wa Ukweli, na mimi ntaendelea kukusogezea kila habari inayonifikia

ANGALIA PICHA YA MELI NZURI NA YA KIFAHARI ZAIDI DUNIANI

Picha
ASANTE KWA KUPATA HUDUMA ZETU,TUNAKUOMBA BOFYA LIKE KUUNGANA NASI FACEBOOK

HII NDIO JEURI YA PESA YA LADY JAY DEE!

Picha
Msanii akishafanikiwa kuwashawishi mashabiki kulipa kiingilio na kuingia kwenye show yake, hana kazi ya ziada zaidi ya kufanya show nzuri ambayo huwafanya mashabiki wenyewe kuingia tena mifukoni na kuwatunza kwa misimbazi ya kutosha.Lady Jaydee kupitia Instagram ametuonesha noti za msimbazi ambazo alitunzwa jukwaani na mashabiki waliohudhuria show yake ya jana pale MOG. Kwenye picha hiyo ameandika:  “Asanteni wote mlionitunza jukwaani Nilitoka kwetu na alfu 6 Nikarudi mkoba umejaa  Kazi ya muziki nzuri jamani Ila Haka ka mkoba jana @niitesonga alikuwa anataka kuka kwapua Mi mwenyewe nna madeni kibao Nawaza nianze lipi kulilipa “ You might also like:

AMBER ROSE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 10 YA D'BANJ NCHINI NIGERIA

Picha
D'Banj akihojiwa. D'Banj akimnong'oneza jambo Amber Rose. Amber Rose na D'Banj katika… D'Banj akihojiwa. D'Banj akimnong'oneza jambo Amber Rose. Amber Rose na D'Banj katika pozi. D'Banj akifurahia jambo na Amber wakati wa sherehe hizo. MWANAMUZIKI mahiri wa Nigeria, D'banj jana amesherehekea kuadhimisha miaka 10 katika muziki ambapo sherehe hizo ziliongozwa na mwigizaji na mwanamitindo maarufu kutoka nchini

Agness Masogange Akana Tuhuma za Kutoka na King Lawrenc, Saa yamkononi yaleta Utata

Picha
 Baada ya Mrembo Agness Masogange Aishie Njia South Afrika kupost kwenye instagram Picha ya Mkono wa Mwanaume wenye saa nyeusi, watu na page mbali mbali walianza kumshambulia na kusema mkono huo ni wa King Lawrenc na wengine kuandika kuwa ni project mpya, Agness Masogane Amejitokeza na kuandika haya instagram: " Mkono huo ni wa Boyfriend wangu na sio wa huyo mnaemsema na wala simjui hata sijawahi kumuona..muwe mnachunguza vitu kwanza sio kukurupuka tu na kuongea ongea ovyo "

HAKIKA WEMA NI MZURI HASWAA ..CHEKI MWONEKANO WAKE HUU MPYA

Picha