Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Juni, 2015

KUMEKUCHA CCM,MKAPA,MWINYI WAJITOSA "KUCHINJA" MAJINA YA WATAKA URAIS CCM,SOMA HAPO KUJUA

Picha
    Zikiwa zimebaki siku 9 kabla ya kamati kuu ya chama mapinduzi CCM akijakutana kwa ajili ya “kufyeka” majina 37 kati ya 42 ya makada wake waliojitokeza na kuwania Urais ndani ya chama hicho,sasa jukumu lingine lawaangukia viongozi wastaafu wa chama hicho.   Viongozi hao ambao ni marais wastaafu Ali Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa ambao wote kwa pamoja wataunda Baraza la Ushauri la Wazee wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kufanya kikao wakati wowote wiki hii kujadili mwenendo wa mchakato wa kumpata mgombea urais wa Tanzania kupitia chama hicho.         Taarifa kutoka chanzo kimoja ndani ya CCM kimeeleza kuwa Mwinyi, Mkapa na wazee wengine wanaounda Baraza la Wazee la Ushauri, watapasua kichwa wiki hii kujadili mwenendo wa urais ikiwa ni siku chache kabla ya kufikia Julai 2, mwaka huu, inayoonyeshwa katika ratiba ya uchaguzi ya CCM kuwa ndiyo siku ya mwisho ya kurejesha fomu kwa wanaowania urais. Lengo la kikao cha Wazee ni kujadili kwa kina mwenendo wa m

RAIS NKURUNZINZA ATUMIA BAISKELI KUFIKA KWENYE KITUO CHA KUPIGA KURA YA WABUNGE !!

Picha
    Jana Juni 29 vyomba mbalimbali vya habari vilikuwa na taarifa ya kuhusu kufanyika kwa uchaguzi wa wabunge nchini Burundi. Uchaguzi ambao ulifanyika, huku vyama vya upinzani na Umoja wa Afrika wakiwa  wamesusia uchaguzi huo. Yote hayo yanafuatiwa na ile hali ya wananchi wa nchi hiyo kumpinga Rais Pierre Nkurunzinza kugombea kwa mara ya tatu nafasi ya urais. Miongoni mwa watu waliojitoketa jana kupiga kura katika kuchagua wabunge alikuwa ni pamoja na Risi Nkurunzinza mwenyewe ambaye alifika kwenye kituo cha kupigia kura kwa njia ya usafiri wa baiskeli. Zipo picha zake hapa chini unaweza kuzitazama.. Rais Pierre Nkurunzinza akiwasili kwenye kituo cha kupigia kura Rais Pierre Nkurunzinza akiwa katika foleni ya kuelekea kupiga kura Rais Pierre  Nkurunzinza akitumbukiza kura yake ndani ya sanduku la kura Wanausalama nao haw

HAYA NDO MAGARI YANAYO TENGENEZWA TANZANIA

Picha
The Nyumbu truck produced at the Tanzania Automotive Technology Centre Image Source: www.skyscrapercity.com Orange Truck The Nyumbu Tractor

MASIKINI AUNT EZEKIEL AKIRI AIBU YA KUZAA NJE YA NDOA YAKE

Picha
Aunt Ezekiel na mume wake Moses Iyobo wakifurahia na mtoto wao. Mkali wa sinema za Kibongo Aunt Ezekiel akiwa na wafanyakazi wa Globalpublishers walipomtembelea kumuona mtoto wake. Makubwa! Aunt Ezekiel ameweka wazi kinachotafsirika kuwa ni kuzaa nje ya ndoa huku akishikilia alichokiita ‘hayo ni mambo yake binafsi’, Ijumaa Wikienda liligaragazana naye kwa maswali. Akizungumza kwa njia ya simu na ‘kijumbe’ wetu wikiendi iliyopita, mkali huyo wa sinema za Kibongo, alisema kamwe hapendi kuulizwa masuala ya ndoa yake. Aunt alisema suala hilo ni la kifamilia na kwamba yeye ndiye mwenye siri ya nani baba wa mtoto huku akishindwa kukubali kama ni Sunday Demonte ambaye ni mumewe wa ndoa, ndiye baba wa mwanaye Cookie. “Mume wangu anapaswa anisikilize mimi, hakuna mahali niliwahi kusema kuwa mtoto huyu ni wa Iyobo (anayetajwa kuwa ni mpenzi wake), ni kweli nimepiga picha na Iyobo tukiwa na mtoto, lakini mtu yeyote anaweza kuja nyu

VIDEO: HIVI NDIVYO PARAGUAY WALIVYO ITOA BRAZIL KWA PENATI COPA AMERICA

Picha
Paraguay wameiondosha Brazil katika michuano ya Copa America kwa penalti 4-3 na kutinga hatua ya nusu fainali ambapo watakabiliana na Argentina. Mchezaji wa Everton, Ribeiro na Douglas Costa walikosa penalti kwa upande wa Brazil Tazama jinsi wanaume walivyopiga matuta BOFYA HAPA

WEMA SEPETU MBUNGE MTARAJIWA AKIWA KWENYE BAJAJ

Picha
   PICHA ZOTE BOFYA HAPA

Zari ameshindwa kuvumilia, imebidi ayaandike haya tena mengine kwa Kiswahili.

Picha
Shemeji yetu Zari ambaye ni mrembo kutoka Uganda ambaye toka amekua mapenzini na Mtanzania staa wa bongofleva Diamond amekua akipokea comments tofautitofauti kwenye page yake ya Instagram, June 28 2015 ameamua kuyaandika haya tena mengine kwa kutumia lugha ya kiswahili baada ya kushindwa kuvumilia. Waliomkasirisha ni wale wanaokosoa uvaaji wake na kuendelea kumfatilia ambapo alianza kwa kuandika >>>’ Mnikome, maisha yangu yanakuhusu nini wewe, nayako hayanihusu mimi kabisa ata kidogo….oh sijui high heels, mara nguo imembana, sijui anapikia heels,pili pili hujakula wewe inaakuwashia nini? Mvae madera zenu mfunge mkanda mpite kimya kimya. Kwanini unastress???? ‘ Hii ndio picha aliyoiambatanisha na hayo maneno. Ameendelea kwa kuandika mengine kwa kiingereza na nitatafsiri kwa wino mwekundu>>> ‘ HAYA NI MAISHA YANGU na sasa your all Gods’ judges now…. how many people do we know that wear hijab but have very dirty ugly hearts? (ni watu wangap

DUUH! SIASA NI BALAA; DIAMOND ABANWA KUMSALITI MEMBE.

Picha
Musa mateja Nimwendo wa kutangaza nia kwa baadhi ya wanasiasa ambao wanaomba ridhaa ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu ambapo upepo huo umemgusa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ baada ya kwenda kufanya shoo wakati Waziri Mkuu Mjiuzulu, Edward Lowassa akitangaza nia mwishoni mwa wiki iliyopita. Waziri wa Mambo ya Nje ya Nchi, Benardi Memba akiwa na staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. TUHUMA ZA USALITI Mara baada ya Diamond… Musa mateja Nimwendo wa kutangaza nia kwa baadhi ya wanasiasa ambao wanaomba ridhaa ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu ambapo upepo huo umemgusa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ baada ya kwenda kufanya shoo wakati Waziri Mkuu Mjiuzulu, Edward Lowassa akitangaza nia mwishoni mwa wiki

WEMA NA MPENZI WA LINNA SASA MAMBO HADHARANI!

Picha
Wema na Mpenzi wa Linah Nadhani hatuna haja ya kueleza zaidi ni maeneo gani hiyo picha itakuwa imepigwa. Wewe mwenyewe unaweza kuwa shahidi wetu. Pichani ni mwanadada wetu Wema Sepetu na kijana aliyetajwa kuwa ni mpenzi wa mwanamuziki linah sana.