Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Januari, 2016

RAISI BARACK OBAMA AKIKIMBIA KUWAHI NDEGE BAADA YA KUTUMIA MUDA WAKE VIBAYA

Habari zilizogonga vichwa vya habari duniani ni tukio la Rais wa marekani barak Obama Kukimbia mbio kuwahi ndege baada ya kutumia muda wake vibaya na kwa mujibu wa taarifa toka state zinasema muda wa ndege ya Rais unapowadia basi huondoka bila kujali Rais yupo au hayupo kwa ajili ya usalama sisi tuendelee na malumbano bungeni

Ni mzobemzobe bungeni

Picha
Makachero na askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) wakiwa ndani ya Ukumbi wa Bunge baada ya kuitwa na Mwenyekiti Andrew Chenge ili kuwatoa kwa nguvu wabunge wa upinzani kwa kukaidi amri ya kuwataka waende nje jana. Picha na Edwin Mjwahuzi  Kwa ufupi Wabunge wa upinzani walitolewa ukumbini wakiwa wamebebwa juu juu au mzobemzobe, wengine wakiwa wamechaniwa nguo na wengine kurushiana makonde na polisi katika tukio lililoweka taswira ya kwanza ya aina yake tangu kurejeshwa kwa siasa za vyama vingi mwaka 1992. By Fidelis Butahe, Mwananchi Dodoma. Polisi 35 jana walitumika kuwatoa ukumbini wabunge kutoka vyama vya upinzani baada ya vurugu kutokea ndani ya chombo hicho cha kutunga sheria kutokana na tangazo la uamuzi wa Shirika la Utangazaji (TBC) kupunguza matangazo ya moja kwa moja ya shughuli za Bunge. Wabunge wa upinzani walitolewa ukumbini wakiwa wamebebwa juu juu au mzobemzobe, wengine wakiwa wamechaniwa

WEMA ASIMULIA JINSI IDRIS ALIVYO MPA MIMBA...HIVI NDIVYO ILIVYO TOKEA

Picha
WEMA ALIMWAMBIA IDRIS KUWA ANATAKA KUSAFISHA KIZAZI...IDRIS AKASEMA SUBIRI KWANZA TUJARIBU TUONE KWA HIYO AKAMWAMBIA SIKU YA KUFANYA HILO TENDO ASILE KITU CHOCHOTE KUANZIA SAA TANO NA MIDA YA JIONI WAWEZE KUFANYA KITU HICHO..BAADA YA KUFANYA HICHO KITU  KESHO YAKE WEMA AKAANZA KUTEST MKOJO NA VIPIMO VYAKE KUONA KAMA AMENASA MARA VIPIMO VIKAONESHA KAMA AMENASA.BAADA YA KUONA HIVYO AKAPAGWA NA AKAONA NI BORA AENDE KWA DAKTARI WAKE ILI APATE UHAKIKA ZAIDI. DAKTARI NAYE AKATHIBITISHA KWAMBA NI KWELI AMEPATA MIMBA.MTANDAO HUU WA THECHOICE UNAWAPA HONGERA SANA WEMA SEPETU NA IDRIS

HABARI ZAIDI ZA YULE MDADA ALIYEKUTWA MSUKULE NDANI YA SHIMO

Picha
Zile Picha za Mwanamke Aliyekutwa Shimoni Hakuwa Msukule, Ndugu Wamesimulia.. (+Audio) Read article about Zile Picha za Mwanamke Aliyekutwa Shimoni Hakuwa Msukule, Ndugu Wamesimulia. . D Salma Issa kwann unadai kuwa yule mwanamke sio msukule itabid nawe uchunguzwe kwann udai kuwa sio msukule Like · Reply · 1 · 4 hrs Juliana Charles Ok kaka story ikoje? Maana kila mtu anaongea yake.... Like · Reply · 1 · 4 hrs Ibrahim Abbul D Salma Issa .. Mimi niliipost kama nilivyo ikuta huko..kwahiyo kadri mwendelezo Wa hii story ilipofikia Huyo Dada anaedaiwa kuwa nimsukule kumbe sio,,,,,nataarifa zilizopatikana Leo huyo Dada ameshapatina na yupo mikononi mwandugu zake...kwahiyo nijambo lakumshukuru Mungu..sana..ila lawama ziende kwa jeshi lapolisi kumtoa uchi wamnyama Dada wawatu toka pale shimoni mpaka kituo chapolisi nakusema kwamba alitoweka..... Like · Reply · 4 h

Inchini Eritrea serikali imewambia wanaume wa inchi hiyo waoe wake zaidi ya mmoja,atakaekaidi atafungwa jela

Picha
Inchini Eritrea serikali imewambia wanaume wa inchi hiyo kwamba wajitahidi waoe wake zaidi ya mmoja,atakaekaidi atafungwa jela,vile Vile mwanamke atakaemkataza mmewe kuwa na mitala ni jela,eti hii imetokana na inchi hiyo kuwa na wanaume wwchache,wengi walipoteza maisha wakati wa vita dhidi ya Ethiopia, hii sasa ni hatari

HIVI NDIVYO BANDARI YA DAR INAVYO LINDWA KWA SASA...HAKIKA RAIS MAGUFULI HANA MCHEZO

Picha
Home Unlabelled HIVI NDIVYO BANDARI YA DAR INAVYO LINDWA KWA SASA...HAKIKA RAIS MAGUFULI HANA MCHEZO Mabadiliko makubwa yamefanyika bandari ya Dar ,Wafunga CCTV 480,wafuna Flow Meter mpya ya diesel  TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

HII NDO OFISI YA DIAMOND PLATNUMS ALIYO IFUNGUA LEO HII...NZURI SANA

Picha
Mama Diamond akiwa kwenye ofisi ya mwanae Kwa Diamond lakini, hamu yake ya kujibrand kuwa msanii mkubwa na wa kimataifa, imemfanya aamue kuwa na ofisi yenye hadhi yake. Kupitia Instagram, hitmaker huyo wa ‘Utanipenda’ alishare picha ya kwanza ya ofisi yake ya kuvutia baada ya mama yake kumtembelea. “Guess who Visited in my Office today!…. Mama Platnumz,” aliandika

HIVI NDIVYO SAMATTA ALIVYOMPIGA CHENGA BOSI WAKE,SASA HUYOOO ULAYA

Picha
HATIMAYE mmiliki wa klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Moise Katumbi amekubali mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta kujiunga na KRC Genk ya Ligi Kuu ya Ubelgiji. Mchezaji huyo alitarajia kurejea jana nchini kwa ajili ya safari ya Ubelgiji kwenda kuanza maisha mapya katika soka la Ulaya. Samatta tayari amekwishasaini mkataba wa awali na Genk wa miaka minne na sasa anakwenda kukamilisha taratibu zilizobaki. Samatta na Genk wanataka kukimbizana na muda ili kuwahi kabla ya kufungwa kwa dirisha dogo la usajili. Meneja wa Samatta, Jamal Kisongo alisema kuwa hatimaye Katumbi ameridhia Samatta aende klabu anayoipenda ili kuendeleza soka lake. Katumbi alikuwa anataka Samatta aende Nantes ya Ufaransa, ili kucheza soka huko, lakini mchezaji huyo hakupenda kwenda huko na alikuwa tayari kubaki Congo kumalizia mkataba wake unaomalizika Aprili.

MATUKIO MBALIMBALI YA PICHA KATIKA KIKAO CHA BUNGE MJINI DODOMA LEO

Picha
 Spika wa Bunge Job Ndugai (kulia)  akimwapisha Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa  , bungeni mjini Dodoma Januari 26, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu Spika wa Bunge Job Ndugai (kulia)  akimwapisha Waziri wa  Fedha na Mipango, Dkt.Philip Mpango, bungeni mjini Dodoma Januari 26, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu, Dkt. Abdallah Possi akijibu maswali Bungeni Mjini Dodoma Januari 26, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri  wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama  akijibu swali Bungeni Mjini Dodoma Januari 26, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Wabunge wakisikiliza hoja mbalimbali bungeni mjini Dodoma Januari 26, 2016.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Baadhi ya Mawaziri wa wizara mbalimbali wakisikiliza maswali na majibu Bengeni leo. Profesa Sospeter Muhongo

Mrembo wa UDSM aliyedaiwa kuwa Msukule uliokutwa shimoni anena kwa uchungu

Picha
Picha zinazomuonesha mwanamke aliyekutwa kwenye shimo la mfanyabiashara mmoja jijini Dar es Salaam akiwa katika hali ya kutisha zimetumiwa kufanya upotoshaji kwa kumzushia msichana mmoja wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Picha iliyounganishwa ikionesha taswira ya msichana huyo wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wakidai kuwa hapo ni kabla zilisambazwa kwenye mitandao ya kijamii na watu wasio na nia njema na kusababisha usumbufu kwa mrembo huyo. Msichana huyo ambaye anatumia jina la Ms.Adelaide kwenye Instagram amekanusha vikali taarifa hizo huku akieleza kwa uchungu jinsi ambavyo ameathiriwa na uzushi huo. “ NAJUA WENGI MTAKUA MMEKUTANA NA HIZI HABARI..SIJAJUA NANI ALIEANZISHA HII MADA NA SIJUI IMEANZIA KWA NANI. MIMI NI MZIMA NA SIO MSUKULE JAMANI NINA WAZAZI WOTE WAWILI WAPO HAI NA WAMEUMIZWA SANA NA HIKI KITENDO, MY FAMILY MEMBERS WAMEUMIA MNOOO KUPITA KIASI, LICHA YA HIYO MIMI BADO NI MWANAFUNZI WA CHUO KIKUU, WANAFUNZI WENZANGU WENYE MAPENZI NA MIMI WANAUMIA SA

MASKINI MZEE WASIRA YAMKUTA, ABWAGWA NA ESTER BULAYA KESI YA KUPINGA UBUNGE

Picha
  MASKINI MZEE WASIRA YAMKUTA, ABWAGWA NA ESTER BULAYA KESI YA KUPINGA UBUNGE Hukumu ya Kesi iliyofunguliwa na wapambe (wapiga kura) wa mzee Wasira ya kupinga matokeo ya uchaguzi jimbo la Bunda yaliyompa ushindi Mhe Ester Bulaya imekamilika. Katika hukumu hiyo Mhe Ester Bulaya kaibuka kidedea baada ya pingamizi lake aliloliweka Katika kesi hiyo kukubaliwa na mahakama hiyo na hivyo kufanya kesi hiyo kutupiliwa mbali.

DARAJA LA KIGAMBONI KUANZA KUTUMIKA MACHI MOSI

Picha
Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (sehemu ya Ujenzi) Eng. Joseph Nyamhanga (wa nne kushoto), akitoa maelekezo kwa Msimamizi na Meneja Mkuu wa mradi wa ujenzi wa daraja la kigamboni kutoka mfuko wa Hifadhi ya jamii (N.S.S.F) Mhandisi John Msemo (wa kwanza kushoto) wakati wa ziara ya kushtukiza iliyofanywa na Katibu huyo kukagua maendeleo ya ujenzi wa daraja hilo. Msimamizi na Meneja Mkuu wa mradi wa ujenzi wa daraja la kigamboni kutoka mfuko wa Hifadhi ya jamii (N.S.S.F) Mhandisi John Msemo, akimuonesha Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (sehemu ya Ujenzi) Eng. Joseph Nyamhanga (wa kwanza kulia) sehemu ya kipande cha km 1.5 kilichopo upande wa Kigamboni kwa ajili ya upanuzi wa daraja hilo. Mwonekano wa Ofisi za Daraja la Kigamboni zitakazotumiwa na wasimamizi wa daraja hilo linalotarajiwa kuanza kazi rasmi mwezi Machi mwaka huu. Lango la kuingilia daraja la Kigamboni linavyoonekana, pembeni ni ofisi za huduma mbalimb

MABALOZI WALIOMALIZA MUDA WAO WAREJESHWE NCHINI MARA MOJA-DK.MAGUFULI

Picha
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es salaam kuhusu uamuzi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli   kuwarejesha nyumbani mara moja Mabalozi wawili  2.0 Wizara ya Mambo ya Nje, Afrika Mashariki na Ushirikiano wa Kikanda na Kimataifa 2.1 Aliyekuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwenye Serikali ya Awamu ya Nne, Mhe. Mahadhi Juma MAALIM ameteuliwa kuwa Balozi wa kwanza wa Tanzania nchini Kuwait, kufuatia uamuzi wa Serikali kufungua Ofisi ya Ubalozi katika nchi hiyo rafiki. 2.2 Rais ameagiza Wizara ya Mambo ya Nje, Afrika Mashariki na Ushirikiano wa Kanda na Kimataifa kuwarejesha nyumbani mara moja Mabalozi wawili ambao mikataba yao imeisha. Leo hii Mabalozi hao wanatakiwa kukabidhi kazi kwa Afisa Mkuu au Mwandamizi aliye chini yao. Mabalozi hao ni: 2.2.1 Bi Batilda Salha BURIANI, aliyeko Tokyo, Japan 2. 2.2 Dkt. Jame

MAMBO 10 YAIBUA VITA UKAWA, CCM BUNGENI!

Picha
Spika wa Bunge,Job Ndugai  Kwa ufupi Katika mambo hayo kumi yanayotajwa kuwa yataibua mjadala mkali bungeni, inaonekana mambo manne yapo dhahiri kutokana na vyama vinavyounda Ukawa kukutana zaidi ya mara tatu kuyajadili. By Fidelis Butahe na Suzan Mwillo, Mwananchi Dodoma/Dar. Mpambano rasmi wa CCM na Ukawa katika Bunge la Kumi na Moja unaanza kesho huku mambo 10 yakielezwa yataibuliwa na kuchangamsha mjadala unaotarajiwa kuwa wa aina yake katika kipindi cha siku 11 cha bunge hilo. Katika mambo hayo kumi yanayotajwa kuwa yataibua mjadala mkali bungeni, inaonekana mambo manne yapo dhahiri kutokana na vyama vinavyounda Ukawa kukutana zaidi ya mara tatu kuyajadili. Mkutano huo wa pili wa Bunge la Kumi na Moja utakuwa wa wiki mbili, lakini uliojaa matukio makubwa kama mabishano ya muundo wa Kamati za Bunge, uchaguzi wa marudio Zanzibar, upinzani kuzuiwa kufanya mikutano ya kuwashukuru wananchi na kuahirishwa kw

BREAKING NEWZZ....Rais Dkt. John Pombe Magufuli amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Dickson Mwaimu

Picha
Rais Dkt. John Pombe Magufuli amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Dickson Mwaimu na maafisa wengine wanne kwa matumizi mabaya ya fedha ya serikali. TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Hatimaye Idris amjaza Wema ujauzito

Picha
Mshindi wa shindano la Big Brother Africa 2015 Idris Sulta, athibitisha kumpa ujauzito mlimbwende amabaye hakauki vinywani mwa watu kutokana na umaarufu wake na urembo wake Wema Sepetu, huku akijivunia kuwa na mwanamke huyo maishani mwake. Katika ukurasa wake wa Instagram Idris Sultan ameandika maneno ambayo yanaashiria wazi mlimbwende huyo ambaye pia anafanya vizuri runingani kwa filamu za kibongo, kuwa ni mjamzito na yeye akiwa ndiye baba wa mtoto huyo, huku akisindikiza na ujumbe wa mahaba kwa mwenzi wake huo. “Me and You are not the ordinary. I sleep, eat, talk and wake up to only thinking about you. As much as utadhani kuwa you are blessed to have me no no i am blessed to have you. At 1st it was weird me kuangalia ndani ya kabati langu kuona nguo zako na viatu au ukiwa unaongea na mimi unaniambia vitu kama "Hivi baby unahisi akiwa wa kiume utafanyaje maana naona umekazana na wa kike”

MEMBE ASEMA :Sitanyamaza,Ni Haki yangu Kikatiba..Nijibuni Kwa Hoja na si Kuniziba Mdomo

Picha
Benard Membe Aliyekuwa waziri wa mashauri ya nje,Ndg.Membe amewajibu wanaotaka akae kimya kuwa hawezi kunyamaza na anatumia haki yake kikatiba bila kuvunja sheria. Membe amewataka wajibu kwa hoja badala ya kumziba mdogo. Membe ameongeza kuwa baadhi ya wana CCM wamekuwa wanafiki wa kutupwa na hawataki Magufuli akosolewe. Atakuwa mstari wa mbele kutoa maoni huru kwa mambo yanayoendelea bila kuvunja sheria. Amesisitiza kuwa rais Kikwete atakumbukwa sana kwa kuwapa watu uhuru wa kutoa maoni yao TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Usajili Ulaya Ulimwengu akamilisha mazungumzo na St.Etienne.

Picha
  Wakati Mbwana Samata akiwekewa vikwazo kuondoka TP Mazembe, hali ni tofauti kwa Thomas Ulimwengu, ambaye yeye mambo yamemnyookea. Mshambuliaji wa Klabu ya TP Mazembe, Thomas Ulimwengu ameshakamilisha mazungumzo na Klabu ya Saint Etienne ya Ufaransa na kinachosubiriwa ni yeye kusaini mkataba wa kujiunga na klabu hiyo. Ulimwengu amesema kabla ya dirisha dogo la usajili barani Ulaya kufungwa mwezi ujao tayari atakuwa ameshatua Ufaransa kuanza maisha mapya ya kusakata kandanda barani ulaya. Ulimwengu ameileza StarTv kuwa mmiliki wa TP Mazembe, Mose Katumbi amebariki kuondoka kwake. Ulimwengu ameweka bayana kuwa amechagua kwenda Saint Etienne kwa kuwa klabu hiyo inamsajili moja kwa moja bila kufanya majaribio. Klabu ya Saint Etienne inayoshiriki ligi kuu nchini ufaransa kwa sasa inashika nafasi ya 5 katika msimamo wa ligi hiyo, ikiwa nyuma ya point 4 na timu ya Monaco inayoshika nafasi ya pili na point 34. Hii ni kusema kwamba kama dili la Ulimwengu litakamil

MKATA VICHWA MATEKA KUTOKA KUNDI LA KIGAIDI LA DOLA LA KIISLAMU IS AUWAWA

Picha
Emwazi anatambuliwa zaidi kwa jina la Jihadi John, ndiye aliyekuwa akitumiwa zaidi kwenye video ambazo zilikuwa zikioneshwa na kundi hilo wakati wa kutekeleza mauaji ya raia wa mataifa ya magharibi walilokuwa wakikamatwa na kundi hilo.  BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI

EXCLUSIVE : OMMY DIMPOZ ALIVYORUSHWA KICHURACHURA NA WANAJESHI LUGALO

Picha
Ommy Dimpoz ni staa mmiliki wa single ya ‘achia body’ ambayo inachezwa kwenye TV na Radio za Tanzania sasa hivi, wiki iliyopita Ommy alijikuta mikononi mwa Wanajeshi   BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI