Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Juni, 2014

Aibu! Vunja Jungu yamtokea Puani Njemba…Anaswa akila URODA na Mke wa Mpangaji wake GESTI

Picha
Vunja jungu!   Saa kadhaa kabla ya kuanza kwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, jamaa aliyetajwa kwa jina moja la Lugali ameibua sekeseke kwenye nyumba ya kulala wageni (gesti), kisa kikidaiwa ni mchepuko akihusishwa na mke wa mpangaji wake, Ijumaa Wikienda lina kisa na mkasa. Wakati ikirandaranda mitaani kutega mingo, Timu ya Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers ilipokea mchongo kuwa kuna timbwili kwenye gesti moja maeneo ya Buguruni, Dar ambapo walifika eneo la tukio na kushuhudia kasheshe hilo la aina yake. OFM ilimshuhudia mzee huyo akichomolewa kutoka chumbani huku damu zikimvuja baada ya kula kichapo kutoka kwa jamaa na ndugu wa mwanaume aliyedai kuwa jamaa huyo alikuwa anamsumbua mkewe. Jamaa aliyetajwa kwa jina moja la Lugali akihusishwa kuchepuka na mke wa mpangaji wake, akiwa amenaswa kwenye gesti moja maeneo ya Buguruni, Dar. Kwa mujibu wa mashuhuda, kabla ya jamaa hao kuingia chumbani humo kwanza walivunja mlango wa chumba hicho baada ya kupata idhi

Kigodoro Chamfanya Wema Sepetu Ashindwe Kuhudhuria BET Awards 2014.

Picha
WEMA Watu wengi wakiwemo mashabiki wa Wema na Diamond walitarajia kumuona pamoja Wema Sepetu akimpa kampani mpenzi wake Diamond Platnumz ambaye alikuwa anawania tuzo ya BET Awards 2014 huko Los Angels, Marekani. Wema alitarajiwa kuonekana kwenye red carpet ya BET kama ilivyokuwa kwenye MTV Africa Music awards ambapo walikuwa wote S.Afrika na kina Aunty Ezekiel na team ya Diamond Hata hivyo chanzo kimoja kilicho karibu na Wema na Aunty kimeipenyezea Guiji la habari kuwa moja ya sababu iliyomfanya Wema ashindwe kwenda BET Awards licha ya kueleza kuwa angehudhuria kupitia Instagram siku kadhaa nyuma ni kufanyika kwa sherehe ya rafiki yao mmoja maeneo ya Mwananyamala nyumbani kwa Aunty Ezekiel juzi,  ambapo asingeweza kuwaacha mashosti zake hao peke yao pasipo sapoti yake katika shughuli hiyo. Kwa mujibu wa chanzo kilichoomba kutowekwa wazi jina lake walicheza sana ikiwemo muziki wenye mahadhi ya kigodoro ambayo ni ngoma/muziki uliyojipatia um

ISIS yatangaza miliki ya Khalifa Iraq na Syria

Picha
Kundi la wapiganaji wa jihadi wanaoongoza mashambulizi nchini Iraq wametangaza miliki ya Khalifa na kuwataka Waislamu wote duniani kutangaza utiifu kwa kiongozi wao. Kundi hilo la Taifa la Kiislamu la Iraq na Syria ISIS, limejibadili jina na kujiita Tiafa la Kiislamu IS, na kumtangaza Abubakar al-Baghdad kuwa kiongozi wa Waislamu duniani. Msemaji wa kundi hilo Abu Muhamad Al- Adnan alitagaza kuundwa kwa miliki ya Khalifa na kuchaguliwa kwa Al-Baghdad kuwa Khalifa katika mkanda wa sauti uliyowekwa kwenye mtandao jana Jumapili. "Baraza la Tiafa la Kiislamu limekutana na kujadili suala hili. Taifa la Kiislamu limeamua kuunda miliki ya Khalifa na kumteua Khalifa wa dola ya Waislamu. Kiongozi wa jihadi Baghdad aliteuliwa kuwa Khalifa wa Waislamu," alisema Al-Adnan. Msafara wa wapiganaji wa IS mkoan Anbar. Kuanzia Iraq hadi Syria Miliki hiyo ya Khalifa ambayo ni aina ya serikali inayofuata mfumo wa Uislamu ambao ulishuhudiwa mara ya mwisho wakati wa utawal

Odama Azidi Kuwa Mrembo Baada Ya Kujifungua.

Picha
Baada ya kujifungua mtoto hivi karibuni actress maarufu Swahiliwood Odama Jennifer Kyaka ameonekana kupendwa na ulezi na kupelekea kuwa mrembo zaidi a.k.a kutakata. SWP ilibahatika kukutana uso kwa uso na Odama juzi kuzungumzia filamu yake mpya ya Inside itakayoingia sokoni tarehe 10 mwezi July. Katika   filamu hiyo kali iliyotengenezwa na kampuni ya J-Film 4 Life chini ya Odama, mastaa wengine waliocheza ni  king Majuto, Masinde, Dullah wa Planet bongo, Davina Halima Yahaya, Ben Branco na marehemu Rachel Haule. Usikose kununua nakala yako halisi. Hizi ni baadhi ya picha mpya za Odama baada ya kujifungua...

KIMENUKA BONGO MOVIE:.BAADA YA WOLPER KUPIGWA MKWARA NA SHEHE

Picha
TABIA   ya staa wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper kubadilibadili dini mara kwa mara imeonekana kuwakera watu mbalimbali akiwemo Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Musa Salum ambaye amemcharukia vikali. Staa wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper akipozi. Wolper kiimani ni Mkristo lakini hivi karibuni alibadili na kuwa Muislam kabla ya kurejea tena kwenye imani yake ya awali ya ukristo. Sababu ya Wolper kubadili dini ilikuwa ni kufunga ndoa na aliyekuwa mchumba wake Abdallah Mtoro ‘Dalas’, walipoachana akaamua kurudi kwenye ukristo. Akizungumza na Risasi Jumamosi juzikati, Shehe Salum, alisema Wolper anapaswa kujichunguza na kubadilika haraka kwani kitendo anachofanya ni kinyume na taratibu za dini.   “Siyo vizuri hata kidogo na hata dini zote zinakemea kitendo cha kuchezeachezea dini kwani ni chukizo kwa Mungu. Jacqueline Wolper akiwa kazini. “Kwa upande wa Dini ya Kiislamu, kuna sheria kali zaidi kwa mtu akionekana na tabia hiyo, anaweza hata kuu

Waislamu waadhimisha Ramadhan

Picha
Waislamu wanaokadiriwa kufikia bilioni 1.6 duniani Jumapili (29.06.2014) wanaanza mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan ambapo hujizuwiya kula na kunywa kwa kutwa nzima na kuepuka kila aina ya maovu Waaumini wakati wa kufturu mwezi wa Ramadhan nchini Sudan. Mwezi huu mtukufu umegubikwa na machafuko ambayo hayakuwahi kushuhudiwa kabla ya umwagaji damu na uhasama wa madhehebu wenye kutishia kuisambaratisha Mashariki ya Kati ambacho ni kitovu cha Uislamu. Damu inamwagika nchini Syria. Wanamgambo wa itikadi kali wameteka sehemu kubwa ya ardhi ya Iraq.Lebanon,Libya, Pakistan,Afghanistan na Misri zote zinapambana na Waislamu wa itikadi kali.Mamilioni ya wakimbizi wa vita hivyo wametawanyika kila mahala. Juu ya kwamba umwagaji damu umeiondosha kwa kiasi kikubwa raha ya Ramadhan,mamilioni ya Waislamu watafunga kwa masaa kwa kutaraji msamaha wa Mwenyenzimungu. Ramadhan ni nini ? Ni mwezi wa mtukufu wa kufunga ambapo kwayo Waislamu wanajinyima chakula, maji ya kunywa na aina

HUYU NDO BILIONEA MTANZANIA WA KWANZA KUMILIKI GARI LA AJABU HAPA BONGO ONA HAPA

Picha
G ari la aina ya Lamboghirn gharama yake   kwa hela za Tanzania ni Shillingi Billioni Moja na Nusu. Davis anakuwa Mtanzania wa kwanza kum iliki gari hili la kifahari ambalo ili ulinunue ni lazima uende kiwa ndani na kutoa order maalum tu na sio vinginevyo. Hata huko USA Star   Mweusi wa kwanza na wa mwisho   ku limiliki alikuwa ni Mike Tsyon   miaka kama 15 iliyopita, lakini vinginev yo wengine wote wamekuwa wakiendesha kwa kukodi tu kutoka kiwandani na sio kulimiliki, Mwaka 1992 Mike Tyson alilinunua kwa USD $ 400,000 . D avis ambaye ameoa na ana watoto watatu ni mmoja wa mfano mkubwa sana wa kuigwa   kwa wengine kwamba kazi ngumu na nidhamu pamoja na uvumilivu mwisho hulipa   na kwamba hakuna njia ya mkato kwenye maisha, na ikipatikana kwa mkato itaishia kwa mkato huo hu o , pia Davis amewahi kuwa Mwenyekiti wa Yanga kwa muda mrefu sana na kuip atia mafanik io makubwa sana

BRAZIL DEFEATS CHILE WORLD CUP 2014

Picha
Brazil v Chile: Julio Cesar the penalty shootout hero as hosts reach World Cup 2014 quarter-finals Brazil vs Chile World Cup match report: Result 1-1, Brazil win 3-2 on penalties - Neymar holds his nerve as Alexis Sanchez among the players to miss in shootout Brazil 1( 3 ) - 1( 2 ) Chile David Luiz 18 A. Sánchez 32 Penalty shootout David Luiz Willian Marcelo Hulk Neymar M. Pinilla A. Sánchez C. Aránguiz M. Díaz G. Jara 57,714 Estadio Mineirão FT TEAMS   STATISTICS   David Luiz celebrates giving Brazil the lead in the first half against Chile   Photo: ACTION IMAGES By   Jason Burt ,   in Belo Horizonte 9:09PM BST 28 Jun 2014 106 Comments ‘Eu acredito’ (I believe) implored the   Brazil   fans – implored the whole of Brazil – and this golden nation finally, somehow found a way to defeat Chile   and remain in this   World Cup . It would have been the end of the world without it. It would have