MAPIGANO MAKALI YARIPOTIWA HIVI LEO KATI YA DRC NA RWANDA

Mapigano kati ya majeshi ya DRC na Rwanda

Mapigano makali yameripotiwa kati ya mpaka wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na Rwanda hii leo. Mapigano hayo yalioanza jana kati ya wanajeshi wa nchi hizo mbili yamesemekana kusababisha mauaji ya wanajeshi kadhaa.
Wanajeshi wa DRC
Wanajeshi wa DRC
Pande zote mbili zinalaumiana kwa kuanzisha mapigano hayo. Kwa sasa wakaazi wa maeneo hayo wanahofia usalama wao wakiomba viongozi wa nchi hizo kusawazisha hali ya mambo ili utulivu urejee katika nchi hizo za Afrika ya kati. Sylvanus Karemera ni mwandishi wetu ambaye kwa sasa yuko kwenye eneo la mpakani na kwanza anaelezea hali ilivyo kwa sasa.. Kusikiliza ripoti yake bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
Mwandishi: Sylvanus Karemera
Mhariri:Yusuf Saumu

SAUTI NA VIDIO KUHUSU MADA

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Ujerumani yanyakua Kombe la nne la Dunia

Abu Bakr al-Baghdadi: Nguo ya ndani ya kiongozi wa IS 'iliibiwa' kufanya uchunguzi wa DNA

HILI NDILO BIFU KUBWA KATI YA RIHANA NA NICK MINAJ.