Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Februari, 2016

JESHI LA POLISI LAOMBA MSAADA KUTOKA JESHI LA JWTZ KUSAIDIA VITA DHIDI YA MAJAMBAZI

Picha
Siku moja baada ya majambazi kuvamia Benki ya Access Tawi la Mbagala Rangi Tatu, kuua watu watatu akiwamo Polisi na kujeruhi watu wengine watatu akiwamo polisi, Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga amesema wataomba msaada wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) ili kukabiliana na matukio ya ujambazi. Alisema Jeshi la Polisi linajipanga upya kuhakikisha wananchi wanakuwa na amani kwa kuwashughulikia majambazi popote walipo. Waziri Kitwanga alisema wanaanza na Mkoa wa Pwani, kwa kuhakikisha wanawasaka na kufyeka mapori yote ya Bagamoyo na kwingineko ili kuvunja mtandao wao. “Kama walidhani Jeshi la Polisi limelala lipo macho, walichofanya ni kama wamemuamsha aliyelala, tutawasaka, tutawakamata na tutawapeleka kwenye mkono wa sheria na tutahakikisha tunawamaliza wote,” alisema Kitwanga. Alisisitiza kuwa wanaotumia pikipiki nguvu ya ukaguzi itaongezwa dhidi ya vyombo hivyo, kwa sababu inaonekana wahalifu wengi hasa majambazi hutumia usafiri huo kutekeleza

BREAKING NEWS : KIONGOZI WA MAJAMBAZI WANAOVAMIA MABENKI TZ HUYU HAPA

Picha
  Polisi wakiamua kufanya kazi kweli wanaweza. Jana wamemtight jamaa anayeaminika kuwa kiongozi wa genge linalotikisa kuvamia mabenki. Sura hii ni common hapa mujini, jamani anayemfahamu!  Source: JF

Cement ya Dangote Yaanza Kusambaza Tanzania... Bei ya Mfuko Mmoja wa Cement yatajwa

Picha
Kile kiwanda kikubwa cha Africa mashariki na Africa kwa ujumla kwa mara ya kwanza kimeanza kuzalisha kusambaza cement jana tar 21/02/ 2016. Kiwanda hicho ambacho ni tegemeo jipya kwa waakazi wa mikoa kusini Mtwara na Lindi kiliahidi ajira nyingi ya wakaanzi wa mikoa hiyo na watanzania kwa ujumla Cement tayari iko maduka kwa bei nafuu ya sh 13,500 tofauti na cement ya viwanda vingine. Tunawakaribisha wateja wa cement hiyo na wenye magari makubwa kufungua office mkoani Mtwara ili kuongeza ajira za madereva hapa mkoani

HILI NDILO TUNDU WATUHUMIWA WA UJANGILI WALIPO TOROKEA

Picha
Tundu lililotobolewa na Mahabusu hao. na kutoroka. Watuhumiwa watatu wa kesi za ujangili pamoja na mauaji wametoroka mahabusu katika kituo cha polisi wilaya ya Meatu Mkoani Simiyu, mara baada ya kutolewa mahakamani kusikiliza kesi zinazowakabili. Tukio hilo lilitokea terehe 19/02/2016 majira ya usiku, ambapo ilielezwa kuwa walitoroka wakati mvua ikinyesha muda huo, huku wakichimba ukuta kwa kutumia kitu chenye ncha kali kutoboa ukuta wa mahabusu hiyo. Akidhibitisha kutokea kwa tukio hilo  Kaimu Kamanda wa jeshi la polisi Mkoani hapa Audax Majaliwa, alisema kuwa kutokana na tukio hilo askari saba wanashikiliwa. Majaliwa alisema kuwa watuhumiwa hao kabla ya kutenda tukio hilo, terehe 01/02/2016 walifikishwa katika mahakama ya wilaya ya Meatu ili kusikiliza kesi zinazowakabili. Aliwataja watuhumiwa hao waliotoroka kuwa ni Chiluli Sitta (28) mkazi wa kijiji cha Mwasangula kata ya Itinje wilayani humo, ambaye alikuwa akikabiliwa na kesi a mauaji. Wengin

Ukata Wamkumba Ray C, Adai Analazimika Avae ‘Ninja’ ili Aweze Kutumia Usafiri wa Daladala....Aomba Msaada Kwa Wenye Uwezo

Picha
Msanii wa muziki nchini, Rehema Chalamila ‘Ray C’ amesema hali yake ya uchumi imekuwa mbaya zaidi hadi anashindwa kumudu baadhi ya gharama za maisha yake. Muimbaji huyo ambaye yupo kwenye tiba ya methadone katika hospitali ya Mwananyamala kutokana na matumizi ya madawa ya kulevya, amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Television Jumatatu hii kuwa, anatamani sana kurudi kwenye muziki ili apate kipato chake lakini anashindwa. “Jamani kiukweli haya maisha ya wasanii nyie acheni tu, yaani inabidi tumuombe tu mungu, mtu akikuona msanii kwenye daladala nani atanunua albamu yako, nani atakuja kwenye show yako, lakini mama ananiambia vaa ninja mwanangu nenda kapate tiba. Kwa sababu kila siku kukodi taxi ni gharama sana, kutoa elfu 25000 kutoka Bunju mpaka hospitali kila siku ni nyingi sana. Sometimes namwambia mama inabidi tutoke mapema saa 11 hivi nivae ninja twende kwanza kanisani then naweza nikachukua hata bajaji kwenda hospitali. Haya ni maisha sio

Mengi yazidi Kuibuka Kuhusu Nyalandu na Kampuni ya Uwindaji Ambayo Majangili Walitungua Helkopta yao na Kuuwa Mzungu

Picha
Mambo mapya yameibuka kuhusu kampuni ya Kimarekani ya Friedkin Conservation Fund (FCF) ambayo majangili walidungua helikopta yake mwezi uliopita na kusababisha kifo cha rubani raia wa Uingereza, Roger Gower. FCF inamiliki kampuni tanzu za uwindaji wa kitalii za Mwiba Holdings Ltd, Tanzania Game Trackers Safaris (TGTS) Ltd na Wengert Windrose Safaris. Wakati helikopta hiyo ikidunguliwa kwa kile kinachoelezwa kwamba ilikuwa kwenye doria dhidi ya majangili, kumbukumbu zilizopo Wizara ya Maliasili na Utalii zinaonesha kuwa kampuni ya Mwiba Holdings Ltd ni miongoni mwa watuhumiwa wa ujangili Uchunguzi unaonesha kumekuwapo matukio kadhaa ya wafanyakazi wa Mwiba kukamatwa wakiwa wameua wanyamapori na kukutwa na nyara za Serikali. Vyanzo vya habari kutoka ndani ya Wizara ya Maliasili na Utalii vimesema mara zote kesi zinazoihusu kampuni hizo zimekwama kutokana na kile kinachoelezwa kuwa ni urafiki wao wa karibu na aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Nyalandu. Urafi

HIVI NDIVYO MPINZANI WA RAIS MUSEVEN ANAVYO TESEKA RUMANDE NCHINI UGANDA

Picha
Highest sense of betrayal. Where are the FDC newly elected MPs and the current ones. I have not seen them visit Dr.Besigye in Nagalama police cells and demandin g for his immediate release and 90% of them are in Parliament because of his brand. I am very very disappointed. This is the time when Dr.Besigye needs us more. During the the campaigns, every 21 FDC and some independent parliamentary candidates fought to stand next to him because they knew he was a selling brand, actually voters in Kampala were Just ticking a key (FDC LOGO) Shame upon you.!!!!!! You have betrayed Dr.Kizza Besigye at this time that he needs you most. If you have betrayed him in broad day light, what will happen in those dark corridors of Parliament. Ensi eno!!!

MKUU WA WILAYA AMBEBA MWANDISHI WA HABARI MGONGONI.

Picha
Mkuu wa wilaya ya Iringa Kasesela akiwa amembeba mwandishi wa habari mgongoni.Ikiwa ni eneo la tukio la mafuriko yaliyotokea juzi mkoani humo.

HUU NDO UJUMBE MZITO ALIO UANDIKA WEMA SEPETU MDA HUU BAADA YA MIMBA YAKE KUTOKA

Picha

MASKINI TUNDU LISU ...GAZETI LA MAWIO LAMPONZA

Picha
TUNDU Lissu, Mwanasheria wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) pia Mbunge wa Singida Magharibi leo jijini Dar es Salaam amehojiwa na Jeshi la Polisi kuhusu hoja alizozitoa kwenye Gazeti la MAWIO. Lissu amehojiwa kwa zaidi ya saa moja Makao Makuu ya Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam baada ya kuhitajika kutoa maelezo kwa madai ya kutoa kauli za uchoelezwa zilizoandikwa kwenye Gazeti la MAWIO zilizohusu mgogoro wa kisiasa visiwani Zanzibar. Habari iliyoandikwa na gazeti hilo iliyobeba kichwa cha habari ‘Machafuko yaja Zanzibar’ inaelezwa kuwa sababu ya serikali kulifungia gazeti hilo tarehe 15 Januari mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kumaliza kutoa maelezo Lissu amesema, serikali inajaribu kumziba mdomo asizungumzie kuhusu suluhu ya mgogoro wa kisiasa unaoendelea visiwani Zanzibar wakati wahusika hawazingatii misingi ya demokrasia. “Wale waliobebwa kwenye uchaguzi leo wanataka kutufumba midomo tusizungumzie mas

Canada's missing or killed indigenous women 'higher than thought'

Image copyright Reuters Image caption Ms Bennett said the true figure of missing or murdered women is higher than previously thought The Canadian government has confirmed that the number of missing or murdered indigenous women in the country may be higher than the previously cited 1,200. Ministers recently spoke to survivors across Canada to begin a government inquiry into the matter. Prime Minister Justin Trudeau made a key campaign pledge to address this. Canada's minister for the status of women suggested on Tuesday the accurate number of missing and murdered women could b

HII NDIYO TOFAUTI KATI YA RAIS MAGUFULI NA RAIS MSTAAFU KIKWETE NDANI YA SIKU 100

Picha
Wakati Kikwete aliyeapishwa Desemba 21, 2005 alitumia siku tano kati ya 100 kuwaanda watendaji wake kufanya semina elekezi katika Hoteli ya kifahari ya Ngurdoto, Arusha ili kuwajengea uwezo mawaziri na makatibu wakuu, Dk Magufuli alisema mawaziri wake wasingepata semina hiyo, bali wangejifunza humo humo kazini na aliokoa Sh2 bilioni zilizokuwa zimetengwa kwa kazi hiyo. Dar es Salaam. Kasi ya utendaji wa Rais John Magufuli ndani ya siku 100 akiwa ofisini imeendelea kujidhihirisha kuwa ni tofauti na ya mtangulizi wake, Jakaya Kikwete. Dk Magufuli ameibainisha wazi sura yake ya kubana matumizi na kuongeza mapato ya Serikali kwa kuzuia safari zisizo za lazima kwenda nje ya nchi, wakati katika utawala wa Kikwete safari zilikuwa nyingi na ndiyo maana  mmoja ya mawaziri wake alisema “tulikuwa tukigongana angani utadhani chini kuna moto.” Wakati Kikwete aliyeapishwa Desemba 21, 2005 alitumia siku tano kati ya 100 k

Huu ndo Mshahara na Posho anazolipwa Rais Barack Obama

Picha
Moja kati ya vitendawili ambayo wananchi wengi hujiuliza ni pamoja na kiasi ambacho mkuu wa nchi analipwa kama ujira wa kuwatumikia, kiasi kinachotolewa kwenye kodi zao. Kwa nchi nyingi za Afrika, kufahamu kipato cha Rais wa nchi mara nyingi huwa kitendawili zaidi na hutia shaka zaidi pale marais wa baadhi ya nchi hizo wanapoonekana kuneemeka kupita kiasi na utumishi wa umma. Hii ni tofauti kwa nchi ya Marekani ambapo mshahara na posho ya Rais huwekwa hadharani, na kiasi anachoingiza kwa mwaka hata kwa kazi zake binafsi pia sio siri. Husambazwa kama habari ya kawaida tu. Rais wa Marekani, taifa lenye nguvu zaidi kiuchumi duniani likichuana na China, hulipwa mshahara wa $400,000 (sawa na shilingi za Tanzania 877,040,000) kwa mwaka. Lakini, hupokea mshahara wake kwa mwezi hivyo ikijumlishwa hufikia kiasi hicho kwa mwaka. Mbali na kiasi hicho cha mshahara wa mwaka, Obama hupata posho ya $50,000 kwa mwaka. Hicho ndicho kiasi pekee anachopata Rais Obama kutoka serik

BREAKING NEWZZ......MSANII WA BONGO FLAVOUR Joni Woka afariki dunia

Picha
Akiongea kwa simu kaka wa marehemu Omari Milay, amesema walipigiwa simu alfajiri ya leo na kujulishwa kuwa Joni Woka amefariki katika hospitali ya Muhimbili, alipokuwa akipata matibabu ya ajali aliyopata siku ya jana. Joni Woka alipata ajali ya kugongwa na kitu kizito kwenye paji la uso, alipokuwa garage maeneo ya Sinza akitengeneza gari yake, kwa bahati mbaya mtungi wa gesi ukalipuka na moja ya vipande vya chuma chenye ncha kali kikamchoma kichwani, Tarifa za awali za madaktari zilisema wanahofia kipande hiko kimefika mbali kiasi kwamba damu inamwagikia kwenye ubongo. Mipango ya mazishi familia imesema inakutana kujadili na mara itakapokamilika watajulisha watu nini kinaendelea. Msanii John Woka ambaye alikuwa kwenye kundi la Watukutu Family, alijipatia umaarufu kwa nyimbo zake za Sophia, baby gal na nyinginezo, ambazo aliziimba kwa mtindo wa ulevi.

HILI NDILO JUMBA LA KIFAHARI LA DONALD TRUMP MGOMBEA URAIS WA MAREKANI ...JUMBA LIMEJAA DHAHABU TUPU

Picha

HALI TETE UGANDA BAADA YA Mpinzani wa Museveni, Dk. Besigye akamatwa

Picha
Moja kati ya wapinzani wakuu wa Rais Yoweri Museveni wa Uganda katika kinyanyiro cha Uchaguzi Mkuu, Dk. Kizza Besigye amekamatwa leo na jeshi la polisi nchini humo ikiwa ni siku mbili kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu. Taarifa kutoka nchini humo zimeeleza kuwa Dk. Besigye alikamatwa na Polisi katika jiji la Kampala akiwa ameongozana na mamia ya wafuasi wake waliofunga barabara kadhaa. Jeshi la Polisi lilifyatua mabomu ya machozi na kuwatawanya wafuasi wake kisha kumtia mbaroni mwanasiasa huyo ambaye alishikiliwa kwa saa kadhaa kwa mahojiano na kisha kuachiwa. Polisi wameileza BBC kuwa Mgombea huyo alikamatwa kwa kuwa alikaidi agizo la Jeshi la Polisi kuhusu barabara walizompangia kupita, na badala yake alipita barabara ya Mukwana na kusababisha msongamano mkubwa usiokuwa na usalama. Dk. Besigye ni kati ya wagombea nane wanaogombea urais wa nchi hiyo. Aliwahi kuwa Daktari wa Museveni kwa muda mrefu na baadae aligeuka kuwa mpinzani wake akidai kuwa kiongozi

Hatimaye Jide Apewa Talaka Rasmi Mahakamani

Picha
BAADA ya mvutano wa muda mrefu, hatimaye diva wa Bongo Fleva, Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ amepewa talaka rasmi kwenye Mahakama ya Manzese, Sinza jijini Dar. Jide alifungua kesi ya madai ya talaka katika mahakama hiyo baada ya kutofautiana na mtangazaji maarufu Bongo, Gardner G. Habash ‘Captain’, aliyekuwa mumewe wa ndoa kabla ya kumwagana takriban miaka miwili iliyopita. Taarifa kutoka kwa chanzo cha kuaminika, wawili hao waliooana mwaka 2005, walitinga katika viunga vya mahakama hiyo Alhamisi iliyopita kisha hukumu ya kesi hiyo kusomwa na talaka rasmi kutolewa kwa Jide na Gardner. “Nimemuona Jide na Gardner hapa, wamekuja kusikiliza hukumu yao. Taarifa za uhakika ni kwamba tayari mahakama imevunja rasmi ndoa na kila mmoja kapewa hati yake ya talaka na sasa kila mtu yupo huru kuendelea na maisha yake,” kilisema chanzo. Baada ya taarifa hizo kutua kwenye dawati la gazeti hili, mwanahabari wetu alimtafuta Jide ili aweze kuzungumzia hatua hiyo waliyoifikia

Ndege ya Air Tanzania Yanusurika Kuwaka Moto Katika Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere

Picha
Msemo wa waswahili kwamba ng’ombe wa maskini hazai unaonekana kuwa kweli kwa Shirika la Ndege Nchini (ATCL), ambalo ndege yake pekee imenusurika kuwaka moto katika uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam juzi. Kwa mujibu wa mashuhuda waliokuwa wakisafiri kwenda mataifa mbalimbali ambao walizungumza na Nipashe juzi jioni, ndege hiyo ilionekana ikitoa moshi mwingi hali iliyosababisha magari ya zimamoto kufika eno hilo ili kuzima moto. Msafiri mmoja ambaye alikuwa akipanda ndege kuelekea Nairobi, Kenya aliliambia gazeti hili kuwa waliona ndege hiyo ya ATCL ikitoa moshi mwingi hali iliyoashiria kuwa kulikuwa na hitilafu kwenye injini yake. “Tuko hapa na tunaiona ndege inatoa moshi kweli kweli, watafuteni wahusika wawaambie tatizo nini,” alisema abiria huyo ambaye baadaye alituma picha mbalimbali za mnato na video kwa njia ya simu zikionyesha ndege hiyo ikitoa moshi mwingi. Gazeti hili liliwasiliana na Katibu wa Mamlaka ya Viwanja vya

SOMA MAGAZETI YA LEO JUMATATU TAREHE 15/2/2016

Picha

HAYA NDO MAJESHI 10 HATARI ZAIDI DUNIANI

Picha
                                                                Wanajeshi wa Korea Kusini wakifanya mazoezi.  .                                                                                                 Wanajeshi wa Uturuki. .                                                                                                      Wanajeshi wa Ujerumani. 0.                                                                                           Wanajeshi wa Ufaransa.                                                                                           Waajeshi wa Uingereza. .                                                                 Wananchi wa India wakiwa katika mazoezi.                                                                                                         Wanajeshi wa China.                                                                                                              Wanajeshi wa Urusi.    

RAIS MAGUFULI AMFANYA KINGUNGE KUVUNJA AHADI YAKE...NAKUTOA KAULI HII

Picha
Utendaji wa Rais John Magufuli baada ya siku 100 tangu alipoanza rasmi kazi kama kiongozi wa ngazi ya juu zaidi nchini, umezua mijadala mingi huku asilimia kubwa wakimpongeza kwa kazi nzuri lakini wengine wamesimama na yao. Muendelezo wa kuchukua maoni ya wanasiasa wakongwe, wadau wa maendeleo na wananchi wa kawaida umegonga mwamba kwa mwanasiasa mkongwe, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru na kupelekea kuivunja ahadi yake aliyoitoa awali kuwa angempima Rais Magufuli baada ya siku 100. Kingunge ambaye alitangaza kukihama Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kuiweka kando kadi yake namba 8 baada ya kukitumikia chama hicho kwa zaidi ya miaka 60, na kumpigia debe Edward Lowassa (Chadema), amekataa kuikamilisha ahadi yake ya kuuzungumzia utendaji wa Magufuli huku akieleza kuwa hakuna mtu wa kumlazimisha kuitimiza ahadi hiyo. “Hata kama niliahidi kuzungumza baada ya siku 100 lakini hakuna mwenye uwezo wa kunilazimisha kuzungumza,” Kingunge anakaririwa na gazeti la Nipashe. “Si