Picha HUYU NDO : . Nyangumi mwenye ‘Futi 40’ avuliwa India.CHEKI ALIVYO MKUBWA

Nyangumi mkubwa anayesadikika kufia majini siku 3 kabla ya kuvuliwa, amepatikana mjini Mumbai nchini India katika ufukwe wa Juhu.
whale2
Nyangumi huyo mwenye urefu wa futi 40, alipatikana tarehe 31 mwezi wa kwanza 2016.
Mnyama huyu inasemekana ndiyo mnyama wa majini kuvuliwa akiwa na kilo nyingi katika nchi hiyo

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Ujerumani yanyakua Kombe la nne la Dunia

Abu Bakr al-Baghdadi: Nguo ya ndani ya kiongozi wa IS 'iliibiwa' kufanya uchunguzi wa DNA

HILI NDILO BIFU KUBWA KATI YA RIHANA NA NICK MINAJ.