PETER P SQUARE AKUTANA NA WACHEZAJI WA CHELSEA.


Peter wa kundi la P Square ni shabiki mkubwa wa club ya Chelsea na aliwahi kuwa kwenye academy moja na John Mikel Obi miaka 20 iliyopita wakiwa na ndoto za kucheza soka siku moja.
Peter alisafiri hadi England kwenda kucheki mechi ya Chelsea Vs United na kuishuhudia club yake ikitoka sare ya 1-1.Baada ya mechi alitumia muda wake kukutanana mastaa mbalimbali wa Chelsea.
Pia kuna habari kwamba Peter anataka kufungua kampuni kwa ajili ya kusimamia wachezaji soka. Peter ame-tease habari hiyo kwa kutumia hashtags za kwenye post yake ambapo ameitaja kampuni hiyo kwa jina na P Classic Football Management (PCFM)
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Ujerumani yanyakua Kombe la nne la Dunia

Abu Bakr al-Baghdadi: Nguo ya ndani ya kiongozi wa IS 'iliibiwa' kufanya uchunguzi wa DNA

HILI NDILO BIFU KUBWA KATI YA RIHANA NA NICK MINAJ.