Picha: Shilole akila bata Paris-Ufaransa bila ya kuwa na Nuh Mziwanda tena!

Mapenzi ya Shilole na Nuh Mziwanda yaliongelewa sana mitandaoni hada ilipofikia kuachana kwao. Maranyingi walikuwa wakienda kula bata kwa pamoja nchi za nje lakini hivi sasa inawezekana kila mmoja atakuwa akila bata kivyake au katika mahusiano mapya atakayo yapata. Huyu hapa Shilole akiwa Paris kula bata.






TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Ujerumani yanyakua Kombe la nne la Dunia

Abu Bakr al-Baghdadi: Nguo ya ndani ya kiongozi wa IS 'iliibiwa' kufanya uchunguzi wa DNA

HILI NDILO BIFU KUBWA KATI YA RIHANA NA NICK MINAJ.