Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Aprili, 2016

Sakata la UDA Laanza upya

Picha
Wakati Serikali ikiendelea kuchunguza mikataba kati ya Shirika la Usafiri Dar es Salaam (Uda) na Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (Dart) kuhusu Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT), Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ametia pilipili kidonda kwa kuibua udanganyifu unaolizunguka shirika hilo. Kwenye ripoti yake ya mwaka wa fedha 2014/2015 aliyoitoa bungeni Jumatatu, CAG Profesa Mussa Assad amebainisha kwamba Dart ilifanya makubaliano na msimamizi wa uendeshaji, Uda-RT kutoa huduma ya mpito ya usafiri kwa kutumia mabasi 76 yenye vigezo vilivyoainishwa kwenye mkataba. Tofauti na makubaliano hayo, Uda ilinunua mabasi 140 ambayo yalikuwa na nembo ya Uda-RT badala ya Dart kinyume na vigezo vilivyoainishwa kwenye mkataba. Meneja wa Miundombinu wa Dart, Mhandisi Mohamed Kuganda alisema wenye ta

Rais John Pombe Magufuli Amtumbua Jipu Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji TIC

Picha
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Bi. Juliet Kairuki kuanzia tarehe 24 Aprili mwaka huu. Taarifa iliyotolewa na kwa vyombo vya habari na Katibu Mkuu wa Biashara na Uwekezaji, Prof. Adolf Mkenda, imesema kuwa hatua hiyo imekuja baada ya rais Dkt. Magufuli kupata taarifa kuwa Mkurugenzi huyo alikua hachukui mshahara wa serikali tangu alipoajiriwa mwaka 2013 jambo ambalo linazua maswali mengi. Aidha, taarifa hiyo iliyosainiwa na Katibu Mkuu huyo imeongeza kuwa endapo Bi. Kairuki atakuwa tayari kuendelea kufanyakazi na Serikali ya Awamu ya Tano atapangiwa kazi nyingine. Mchakato wa kumpata Mkuregenzi mpya umeanza mara moja. Kwa mujibu wa Prof. Mkenda kwenye taarifa yake hiyo amesema Bw. Clifford Katondo Tandali, atakaimu nafasi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo hicho cha Uwekezaji

Mwanri Aagiza Wahusika Watumishi Hewa Kukamatwa

Picha
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Bw. Aggrey Mwanri, ametoa siku saba kwa wakurugenzi wa halmashauri za wilaya na wakuu wa wilaya kuorodhesha idadi ya wafanyakazi waliopo katika maeneo yao na kuwakamata wale wote wanaotuhumiwa kuisabishia serikali hasara. Bw. Mwanri amesema pamoja na kurejeshwa kiasi cha shilingi milioni 54 kati ya shilingi milioni 118, walizolipa mishahara hewa wafanyakazi 48 waliobainika hapo awali lakini mkakati madhubuti unahitajika wa kurejesha zaidi ya shilingi milioni 63 zilizobakia ikiwa ni pamoja na kuwachukulia hatua za kisheria wahusika. Mwanri ametoa maagizo hayo wakati wa kikao kati yake, na Wakuu wa wilaya, Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri za wilaya, Maafisa Utumishi, Tawala na Elimu, ngazi za wilaya na mkoa kutoa wilaya zote za mkoa wa Tabora. Katika hatua nyingine katika kikao hicho Mkuu huyo wa mkoa wameitaka kila halmshauri kukamilisha utengenezaji wa madawati kwa kila shule na kusema hadi Mei 30 zoezi hilo liwe limekamilika. K

Waziri Mkuu Amjibu Freeman Mbowe

Picha
DOWNLOAD UDAKU SPECIAL APP HAPA Waziri Mkuu kassim Majaliwa, amemjibu kiongozi wa upinzani Bungeni Freeman Mbowe, aliyehoji siku za hivi karibuni kitendo cha Serikali kutotoa hati maalumu ya mwongozo (Instrument) inayoitambulisha serikali iliyopo madarakani kwa mujibu wa sheria. “Instrument ipo, na tayari imeshasainiwa na rais kwa mujibu wa sheria, kwa sasa mchakato wa kuitangaza kwenye magazeti ya Serikali inaendelea” amesema Waziri Mkuui Majaliwa Amesema viongozi wote wa serikali wapo kwa mujibu wa sheria na kanuni za serikali. Waziri Mkuu Majaliwa ameyasema haya wakati alipokuwa akihitimisha hotuba yake ya kulitaka bunge likubali kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya ofisi yake kwa mwaka wa fefdha 2016/17

Kifo cha Papa Wemba Chazua Utata...Wadai Aliwekewa Sumu Kwenye Mic...Tazama Hii Video Ikionyesha Tukio Nzima la Kubadilishiwa Mic

Picha
DOWNLOAD UDAKU SPECIAL APP HAPA Mtandao wa Kinshasa-makomba.com ametoa shutuma kuwa mwimbaji Papa Wemba aliyefariki wiki iliyopita kwa kuangaka jukwani ghafla hakufariki kwa kifo cha kawaida bali amewekewa sumu kwenye mic aliyekuwa akiimbia..Mtandao huo umekwenda mbali zaidi na kuweka video ikionyesha tukio zima jinsi alivyobadilishiwa mic na kuwekewa yenye sumu.... Angalia Video Hapa Chini: https://youtu.be/JrrV8iWo5L0   https://youtu.be/JrrV8iWo5L0

TETESI: Donald Ngoma wa Yanga kucheza Europa msimu ujao?

Picha
  Ngoma aliye katika msimu wake wa kwanza kwenye Mkataba wa miaka miwili aliosaini kutoka FC Platinums ya Zimbabwe Julai 2015, ametokea kuwa kipenzi cha wana Yanga Timu moja ya Ligi Kuu ya Yugoslavia ambayo mwakani itacheza michuano ya Europa League inamtaka mshambuliaji wa Yanga SC, Mzimbabawe Donald Dombo Ngoma. Kwa mujibu wa BinZubeiry Chanzo cha habari kutoka Yanga kimesema kwamba klabu hiyo inataka kufanya mazungumzo na uongozi juu ya a biashara ya Ngoma. Chanzo hicho kilisema katika barua yao ambayo wameituma tena kuwakumbusha Yanga juu ya kumuhitaji Ngoma, wamesema kwamba wako tayari kumnunua kwa dau la Dola za Marekani 350,000 (zaidi ya Sh. milioni 700 za Tanzania). "Yule wakala bado anakumbusha barua yake kuhusiana na kumuhitaji Ngoma, lakini Yanga hawataki hata kukaa mezani kuzungumza, na wamesema wako tayari kuongeza dau endapo watatakiwa kufanya hivyo," kilisema chanzo hicho. Kiliendelea kusema kwamba straika mwenyewe yuko tayari kwenda kuj

Video ya Sekunde 80 ikionyesha Tukio la Papa Wemba Kuanguka Jukwaani Akitumbuiza na Kufariki

Picha
Lilikua ni tamasha ambalo linaonekana live kwenye TV ambapo mkongwe huyu wa muziki kutoka Congo DRC alikua akitumbuiza na band yake huko Abidjan Ivory Coast lakini ghafla akaanguka na kufariki muda mfupi baadae. Tazama Video: https://youtu.be/ENQPk6RKNSQ

Hizi Hapa Shida Zinazo Wapata Wanawake Wenye Makalio Makubwa Kwenye Mapenzi

Picha
Mara nyingi wanaume wengi hupenda ama kuvutiwa na wanawake wenye makalio makubwa. kwa sasa mwanamke mwenye makalio makubwa yaliyojazia sawasawa huonekana anasoko kuliko wale wenye makalio ya wastani, Lakini mara nyingi hawadumu kwenye mahusiano kwani Wanaume wengi ambao hawana mapenzi ya kweli huwa wanataka kuonja tu na mara nyingi wanakuta kile ambacho hakutegemea hivyo kukimbia...na kumwacha mwanamke anaumia....Takwimu zinaonyesha wanawake wanene wanaongoza kuumizwa na wenza wao kulilo vipotaable... Watu wengi huzimika na wanawake wenye makalio makubwa lakini ukweli ipo tofauti kubwa kati ya wenye makalio madogo na makubwa kwani wanawake hawa wamekuwa na kero kadhaa ambazo ni sugu na zifuatazo ni kero  kuu tatu. 1.Mwanaume huwa hapati mwanya au nafasi nzuri wakati wa tendo hushindwa kupata ladha inayotarajiwa, kwani mara nyingi ukubwa wa makalio huzuia uume kusakua uke kisawasawa hivyo badala ya kupata burudani unakesha ukihangaika kupekenyua  makalio na kuji

Hizi Hapa Faida za Kunywa Maziwa Mgando/Mtindi Katika Mwili wa Binadamu

Picha
Mtindi unaorodheshwa kuwa miongoni mwa vyakula bora kutokana na kuwa na virutubisho vingi vya aina mbalimbali ambavyo vina faida nyingi katika mwili wa binadamu. Vikitajwa kwa uchache virutubisho hivyo, imethibitika kuwa mtindi ni chanzo kizuri cha ‘Calcium’, ‘Phosphorus’, ‘Riboflavin (vitamin B2), ‘Iodine’, ‘vitamin B12’, ‘Pantothenic acid (vitamin B5) ‘Zinc’, ‘Potassium’ na ‘Molybdenum’. Mbali ya virutubisho hivyo, ndani ya mtindi kuna ‘bakteria hai’ ambao ni muhimu kiafya katika mwili. HUREFUSHA MAISHA Utafiti unaonesha kuwa unywaji wa mtindi mara kwa mara, hasa katika kundi la wazee, uwezo wa mwili wa kupambana na magonjwa mbalimbali umeonesha kuongezeka na kufanya mfumo wa kinga ya mwili kuwa imara zaidi.  Katika utafiti mmoja, walichaguliwa wazee 162 ambao walipewa utaratibu wa kunywa mtindi na maziwa zaidi ya mara 3 kwa wiki na kufuatiliwa maendeleo yao kwa muda wa miaka mitano. Baadaye utafiti huo ulionesha kuwa idadi ya vifo vya wazee hao ilipungua k

SOMA Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya April 24, Ikiwemo ya Ukawa Kuacha Vumbi Bungeni

Picha
SOMA Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya April 24

Asilimia 18 Ya Simu Za Kiganjani Zaonekana Ni Bandia ,huku Asilimia 79 Zikiwa Salama

Picha
MAMLAKA ya mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema kuwa asilimia 79 ya simu za kiganjani zilizofanyiwa utafiti kwa kipindi cha desemba hadi February mwaka huu ziko salama na sio za bandia ,huku asilimia 18 zikionekana zikiwa za bandia hivyo kuwataka wananchi kutambua kuwa simu feki zilizoko sokoni ni chache tofauti na kipindi cha nyuma. Pia imebainika kuwa asilimia kubwa ya nyumba zinazoungua na umeme ni kutokana na simu bandia ambazo betri zake au vifaa vyake hushindwa kuhimili  mionzi pindi zinapokuwa zinachajiwa hivyo kusababisha mlipuko wa moto na hivyo kuleta madhara . Hayo yalisemwa na meneja uhusiano wa mamlaka ya mawasiliano Tanzania Innocent Mungi alipokuwa akizungumza katika semina ya mfumo wa rajisi ya  namba za utambulisho wa simu za kiganjani iliyowashirikisha wadau na wafanyabiashara wa jijini hapa. Alisema kuwa kutokana na elimu ambayo wameitoa kwa wafanyabiashara wa simu  hizo ya kuhakiki kwanza kabla ya kuwauzia wananchi imepunguza uingizaji wa sim

Ladies: Hizi ni Dalili Tisa Kuwa Wewe si ‘Main Chick’ Bali ni Mchepuko Wake tu!

Picha
Wanaume wengi ni wataalam wa kuwa na uhusiano na wanawake wengi kwa wakati mmoja. Sasa kwa msichana unayesoma makala hii, hizi ni dalili 9 kuwa huenda wewe si ‘baby number one’ wake bali ni mchepuko tu. 1. Mazungumzo mengi naye yanahusisha kufanya mapenzi tu 2. Hawezi kukualika kwenye mkusanyiko wa familia yake 3. Hapendi surprises – hapendi uende kwake bila kumwambia 4. Ni mkali sana kwenye simu yake, hawezi kukuruhusu uishike 5. Ni mgumu kukuonesha mahaba ukiwa naye hadharani 6. Anahofia kupiga selfie na wewe 7. Anapigiwa simu za ajabu ajabu 8. Hakuiiti wewe kama girlfriend wake. Akiwa na marafiki au ndugu zake anakutambulisha kwa jina lako 9. Haongelei kuhusu mipango yenu ya baadaye

Wakati Tanzania Mirungi ni Haramu..Kenyatta Atoa Dola 10m za Kilimo Cha Mirungi

Picha
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ametangaza kwamba serikali yake itatenga dola za Kimarekani 10 milioni za kusaidia wakulima wa mirungi kwenye bajeti ya mwaka ujao wa kifedha. Wakulima hao wameathirika sana kufuatia hatua ya baadhi ya nchi za Ulaya kupiga marufuku uuzaji wa mirungi, maarufu pia kama miraa, katika mataifa hayo. Hutumiwa sana na watu wa jamii ya Wasomali na hutegemewa sana na jamii zianzoishi katika maeneo ya mashariki ya Mlima Kenya, miongoni mwa watu wa jamii ya Wameru. Pesa hizo zitatolewa kupitia Wizara ya Kilimo. Rais Kenyatta ametangaza hayo alipokuwa akitia saini mswada unaotambua mirungi kuwa mmea wa kuzalishia taifa mapato kuwa sheria. Sheria hiyo itaifanya serikali kuweka mikakati ya kutangaza, kuzalisha na kusambaza na kuuza zao hilo. Rais Kenyatta amesema kutaundwa pia jopo kazi la kuangazia changamoto zinazokabili sekta ya ukuzaji wa mirungi ambayo itatoa mapendekezo kwa serikali.

Milioni 50 za Rais Magufuli Kila Kijiji Zazuzua Kizaazaa

Picha
DOWNLOAD UDAKU SPECIAL APP HAPA WAZIRI wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama alisema serikali imeweka utaratibu mzuri wa fedha za ahadi ya Rais ya milioni 50 kila kijiji, ili Watanzania wote wanufaike bila kujali itikadi zao za kisiasa. Alisema hayo bungeni mjini Dodoma jana wakati akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Buyungu, Kasuku Bilango(Chadema) aliyetaka kusikia kauli ya serikali juu ya mgawanyo wa fedha hizo akisema ipo mizengwe kwamba fedha hizo zitatolewa kwa wanachama wa CCM . “Serikali itoe kauli fedha hizo zitatolewa kwa utaratibu gani,” alihoji. Mhagama alisema fedha hizo ni ahadi ya Rais aliyotoa wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu ambao Watanzania walichagua Serikali ya CCM. Alisema serikali inatumikia Watanzania wote bila kujali itikadi za vyama vyao. Alisema Baraza la Uwezeshaji Kiuchumi limeanza kutengeneza utaratibu wa namna ambavyo fedha hizo zitanufaisha Watanzania wote. Alisisitiza kuwa se

Mzee Mengi na Jacqueline Maisha ni Motomoto...Wakubwa Wanafaidi Sana

Picha
Kweli pesa ni kila kitu.Hizi ndio pesa na raha yake,sio wale watani zangu wa Nyanda za Juu Kusini,unakuwa na pesa halafu mke unamuweka kama "msukule" anakaa tu dukani siku nzima. Bata mara moja moja kama hivi si haba,unakula bata na watoto na wife hapa na pale..Mambo ya kuja Dsm kwa kupanda fuso peleka huko...

Wako Wapi Salum Mwalim, John Mnyika na Tundu Lissu?

Picha
Kwa muda sasa sijawasikia hawa makamanda Salum Mwalim, John Mnyika, Tundu Lissu, hata ukipita Makao Makuu ya Chadema pale Ufipa ni ngumu kuwapata. Tulizoe kusikia na kuona matamko yao kila baada ya muda kupitia kwa Tumaini Makene ambaye naye hajulikani alipo. Je Kasi ya Magufuli Imewanjamazisha au ndio Ukiona Kobe Kainama Ujue Anatunga Sheria....? Nafasi za Kazi Tembelea www.ajirayako.com

MAGAZETI TANZANIA YALIYOANDIKWA LEO APRIL 22, 2016

Picha