VIDEO RAIS MAGUFULI ALIVYOREJEA NYUMBANI JANA AKITOKEA RWANDA


President John Pombe Magufuli wa Tanzania alikwenda kwenye nchi ya Rwanda kwa ziara ya siku mbili kuanzia April 6 2016 ambapo alimaliza ziara yake na kurudi nyumbani Tanzania April 7 2016, kwenye hii video hapa chini inamuonyesha alivyotua kwenye uwanja wa ndege Dar es salaam kwa ndege ya Rais ambayo ilimfata Rwanda alikokwenda kwa gari akitokea Chato Geita.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Ujerumani yanyakua Kombe la nne la Dunia

Abu Bakr al-Baghdadi: Nguo ya ndani ya kiongozi wa IS 'iliibiwa' kufanya uchunguzi wa DNA

HILI NDILO BIFU KUBWA KATI YA RIHANA NA NICK MINAJ.