Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Septemba, 2014

TAZAMA PICHA 5::HAWA NDI MABINTI WAZURIIII SANA AMBAO NI WATOTO WA MARAIS WA KENYA,UGANDA,RWANDA NA ZIMBABWE

Picha
SAFU hii mpya itakuwa yakutoa elimu kwa wasomaji. Wiki hii tunaanza na baadhi ya mabinti wa marais wa Afrika ambao wanatikisa sana katika mitandao mbalimbalikutokana na sifa zao tofauti AngePaul Kagame Ni binti wa Rais wa Rwanda, Paul Kagame. Alizaliwa mwaka 1989. Kwenye mitandao amekuwa akisifiwa kuwa ni ndiye binti mrembo kuliko wengine. Faith Sakwe Jonathan Huyu ni mtoto wa Rais wa Nigeria, Goodluck Jonathan. Amefunga ndoa Aprili, mwaka huu. Naye anatajwa na mitandao kwamba ni mrembo. Nyepudzayi Bona Mugabe Ana miaka 24. Ni binti wa Rais wa Zimbabwe, Robert Gabriel Mugabe. Ni binti aliyetikisa mitandaoni kutokana na mambombalimbali ya kijamii. Amefunga ndoa hivi karibuni Sifa Joseph Kabila Amezaliwa mwaka 2001, baba yake ni Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Joseph Kabila. Anatajwa kuwa binti mtulivu na msikivu. Ngina Uhuru Kenyatta Mwaka huu amekamata wa 23, baba yake ni Rais wa

BREAKING NEWZZZ.....MH.SUGU NA MKEWE FAIZA WAACHANA LIVE...MKEWE ALIA SANA KWA UCHUNGU...AANDIKA UJUMBE MZITO

Picha
Mh. Sugu, Faiza Ally na mtoto wao Sasha Muigizaji wa filamu nchini FaizaAlly amemwagana na mwanamuziki mkongwe wa muziki wa kizazi kipya Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu ! well....kupiia Instagram Faiza ameandika maneno yanayoonyesha amemwagana na Mh.Sugu ambaye pia ni mbunge wa Mbeya mjini kupitia Chadema. Faiza aliandika........ ASANTE KWA KUPATA HUDUMA ZETU,TUNAKUOMBA BOFYA LIKE KUUNGANA NASI FACEBOOK

Mwanzilishi wa kampuni ya 'Apple' aliwazuia watoto wake kutumia iPad, iPhone na iPod, fahamu sababu;

Picha
Bidhaa za kampuni ya Apple zina mashabiki na wateja wengi duniani, hii inathibitishwa na foleni kubwa ya watu waliojitokeza kwenye vituo mbalimbali duniani kununua toleo jipya la iPhone6. Tumesikia watu wakiachana ama familia zikitengana kwa sababu tu baba ameshindwa kununua bidhaa za kielekroniki za kampuni ya Apple. Mwaka jana familia moja nchini China iliwauza watoto wao ili kupata pesa ya kununua iPhone5. Kwa kuzingatia hayo, huenda ukadhani watoto wa mwanzilishi wa kampuni ya Apple na mgunduzi wa bidhaa hizo, Steve Jobs wanafaidi zaidi bidhaa hizo. Na huenda ukadhani hata kuta za nyumba yao zingeweza kuwa za mfumo wa simu za kisasa za kupangusa ‘Screen Touch’ na mawasiliano ya hali ya juu ndani ya nyumba hiyo kwa mfumo huo. Lakini ukweli ni kwamba, marehemu Steve Jobs hakuwaruhusu hata kidogo watoto wake kutumia iPhones, iPods wala iPads nyumbani kwake. Katika article iliyoandikwa na New

FACEBOOK SASA KUANZIA MWEZI WA 11 ITAKUWA INAKUCHAJI DOLA 2.99 KILA MWEZI

Picha
At a press conference this morning, Facebook rolled out their new monthly service plan. Beginning November 1st of this year, the social media giant will start charging members $2.99/mo to use services which users currently enjoy for free. “After thinking long and hard about this decision, at the end of the day, we were forced to add this monthly fee,” Facebook founder and CEO Mark Zuckerberg told reporters. “If we don’t do something about our rising costs now, Facebook could face an unrecoverable financial burden and become obsolete.

Utata watawala taarifa za kuuawa kiongozi wa Boko Haram

Picha
Taarifa zilizosambazwa na baadhi ya vyombo vya habari nchini Nigeria zinadai kuwa kiongozi wa kundi la kigaidi la Boko Haram, Abubakar Shekau ameuwa na majeshi ya Nigeria. Tetesi hizo zilianza kusambaa Alhamisi iliyopita baada ya jeshi la Nigeria kutoa taarifa kupitia Twitter kuwa wamemjeruhi vibaya kiongozi wa ngazi za juu wa Boko Haram katika eneo la Konduga, Borno. Wikendi iliyopita taarifa hizo zilianza kuaminika zaidi baada ya picha zinazoonesha mwili wa mtu anaeaminika kuwa Abubakar Shekau kusambaa kwenye mitandao ya kijamii na tovuti mbalimbali. Hata hivyo, msemaji wa jeshi la Nigeria amekataa kuthibitisha taarifa hizo wala kuzikanusha akidai kuwa bado uchunguzi unaendelea. “Katika point hii, sitaweza kuthibitisha au kukanusha taarifa hizi. Major General Chris Olukolade (Msemaji wa jeshi la Ulinzi) ataweza kutoa taarifa kuhusu hali hiyo hivi punde. Endeleeni kusubiri.” Msemaji wa jeshi la

UMEMWONA MASANJA MKANDAMIZAJI ALIVYOJIACHIA NA HUYU KIMWANA, KATIKA HARUSI YA PRODUSA MAN WALTER

Picha
  Producer Man Maji Man Water ambalo jina lake kamili ni John Vomo Shariza Siku ya Jumamosi tarehe 21 Septemba 2014 katika kanisa la KLPT Kigamboni jijini Dar es salaam alifunga ndoa na mke wake aliyejulikana kwa jina Matilda Jimmy Igoti katika ukumbi wa Karimjee Hall jijini Dar es salaam,Zitazame picha za kilichojiri kwenye hafla hiyo                                     

Diamond azua vurugu nyingine Uingereza

Picha
Mwanamuziki Diamond Platnumz.PICHA|MAKTABA  KWA UFUPI Alisema waliamuru watu warudishiwe fedha zao, hivyo walipanga mstari na kurudishiwa fedha zao, kila mmoja akiamuriwa kuondoka eneo hilo huku wenye klabu hiyo wakinyang’anywa leseni. Dar es Salaam.   Mwanamuziki Diamond Platnumz kwa mara nyingine tena usiku wa kuamkia jana alisababisha vurugu kubwa nchini Uingereza baada ya kushindwa kutumbuiza katika ukumbi wa LaFace Club uliopo jijini London. Hii ni mara ya pili kwa Diamond kusababisha vurugu nchi za ughaibuni baada ya Septemba 1, kusababisha vurugu katika mji wa Stuttgart nchini Ujerumani aliposhindwa kufika kwa wakati ukumbini. Akizungumza na gazeti hili, shuhuda wa tukio ambaye ni Mtanzania anayefanya shughuli zake nchini Uingereza, Flora Lyimo alionyesha wazi kukerwa na tukio hilo ambalo alieleza kuwa huenda likaharibu sifa ya nyota huyo ughaibuni. Lyimo ambaye alihudhuria shoo hiyo alisema Diamond alisubiriwa na zaidi ya watu 200 tangu

TAZAMA PICHA 15 JINSI ZA FOLENI KUBWA YA WATU WAKISUBILI KNUNUA IPHONE 6

Picha
Mashabiki wa Apple Ijumaa hii wamezishika simu zao mpya za iPhone 6 baada ya kungojea kwa siku kadhaa nje ya maduka yanayouza simu. Hata hivyo, zaidi ya iPhones milioni 5 zinaweza kuishia kwenye soko haramu la Kichina ambapo zinaweza kuuzwa kwa bei mara tatu zaidi. Jijini London Ijumaa hii mamia ya watu walikuwa wamejipanga kwenye mistari mirefu huko Covent Garden na Regent Street walionekana wakisherehekea kila baada ya kupata simu zao.  Sam Sheikh, 27, anayeishi London, amedai kuwa amesubiria kwa siku tatu kungoja siku yake na amekuwa mteja wa kwanza wa Uingereza kupata simu  Wakati huo huo huko Marekani kwenye duka la Birmingham kulikuwa na msululu mrefu wa zaidi ya mita 100 ambapo simu zote ziliisha ndani ya dakika 10 tu. Simu hizo zinauzwa kwa kuanzia £539 kwa zile zenye GB16, £619 kwa zile zenye GB 64 na £699 kwa simu zenye GB 128. iPhone 6 Plus zinauzwa kwa kuanzia £619 kwa ile yenye 16GB, £699 kwa yenye 64GB

Kiongozi wa Freemason aelezea alivyochumbia

Picha
KWA UFUPI Mwandishi wa makala haya ni kiongozi mkuu mstaafu wa Freemason Afrika Mashariki, aliyetumikia taasisi hiyo kwa zaidi ya miaka 60.   Kifo cha baba yangu kiliniuma sana. Uhusiano wetu ulikuwa wa namna ambayo hata vijana wa siku hizi au jamii ya Lohana wasingeweza kuelewa. Upendo wangu kwa mama ulikiwa usio na masharti. Kwa upande wa baba uhusiano tuliokuwa nao haukuwa na shaka. Tulikuwa tumeunganishwa zaidi ya mtu anavyoweza kudhani. Ulikuwa ni uhusiano ambao unazidi ule wa mtoto wa kwanza na baba yake katika jamii yetu. Bahati mbaya uhusiano huo ulivunjika, hisia zangu za kumpoteza baba ziliathiri utambulisho wangu. Kama isingekuwa hivyo, ningekuwa na mke niliyempenda sana na mtoto wa kwanza. Kifo kile kiliacha pengo ambalo lilikuwa gumu kuliziba. Kisha, kama ilivyotokea mke wangu mpenzi, Jayli alinionyesha upendo ulioweka mambo katika utaratibu uliokubalika. Hadi kufikia Agosti 1959 tulikuwa tayari tumeshakaa ndani ya ndoa kwa miaka minne

WEMA ATOSWA VIKAO VYA HARUSI YA DIAMOND

Picha
Meninah habari mpya zinasema kuwa vikao vya harusi ya Diamond na Meninah ambaye ni mwanamuziki wa Bongo fleva vimeanza kimya kimya nyumbani kwa mama Diamond huku mmoja wa wahudhuriaji wakiwa ni mama Diamond mwenyewe na Queen Darling ambaye ni dada wa Diamond. Kwa mujibu wa Baabkubwa magazine paparazzi wake alienda nyumbani kwa Diamond hivi juzi kati kufanya nae mahojiano hata hivyo hakumkuta Diamond lakini alimkuta mmoja wa watu wake wa karibu ambaye yupo pia upande wa Wema Sepetu. Chanzo hicho kilimwaga news kuwa hakuna cha ndoa ya Diamond na Wema bali ndoa inayopangwa kwasasa ni ya Diamond na Meninah na vikao vimeanza kwa mama Diamond. Chanzo hicho kilisema kuwa Diamond na Meninah walikutana takribani miezi mitano iliyopita wakati wa maandalizi ya tuzo za Kili Awards 2014 ambapo wote walitumbuiza. Baada ya hapo wakaingia mapenzini kimya kimya mpaka wiki za hivi karibuni gazeti moja lilipovujisha habari hizo za mahaba ya Diamond na Meninah na m

Mamia Wajitokeza Kumsindikiza Freeman Mbowe Polisi Alipoitwa Kuhojiwa Kuhusu Kauli yake ya Maandamano…

Picha
MAMIA ya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), asubuhi ya leo wamejitokeza kumsindikiza Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa, Freeman Mbowe kuelekea Makao Makuu ya Jeshi la Polisi yaliyopo Posta jijini Dar es Salaam. Mbowe amefika makao makuu hayo kwa ajili ya kuhojiwa kuhusu kauli yake aliyoitoa Jumapili iliyopita ya kuitisha maandamano nchi nzima kushinikiza kusitishwa kwa Bunge Maalumu la Katiba. Katika tukio hilo, baadhi ya waandishi wa habari wamekimbizwa na polisi waliokuwa na mbwa wakitakiwa kukaa umbali wa mita 200 kutoka katika makao makuu hayo ya polisi.