Shilole akiri kutotumia Condom kwenye mapenzi

Mwigizaji  wa  filamu  na  mwanamuziki  wa  miondoko    ya  kizazi  kipya, Zuwena  Mohammed  ‘Sholole’  amesema  kuwa  matumizi  ya  kondom  wakati  wa  mahaba  hayaleti  ladha  ndio  maana   alilazimika  kwenda  kupima  ngoma  na  mpenzi  wake  Nuh  Mziwanda  ili  wasiwe  wanatumia  kondom.
nuhu
 
Akizungumza  na  Mpekuzi  wetu, Shilole  alisema  kuwa  raha  ya  mapenzi  ni  kila  mmoja  kuwa  na  mwenzake  bila  kuwa  na  kizuizi  chenya  kuondoa  ladha  hiyo  na  baada  ya  kupima  kila  mmoja  ameapa  kutochepuka  ili  asilite  maambukizi  ndani  ya  uhusiano  wao….
SHILOLE
 
“Asikudanganye  mtu, raha  ya  kula  ndizi  ni  kula  ikiwa  imemenywa, ikiwa  na  maganda  inaondoa  utamu  ndio  maaa  mimi  na  mwenzangu  tulilazimika  kwenda  kupima  afya  zetu  na  kila  mmoja  alibainika  ni  mzima hivyo  tumeahidiana  kutosalitiana  ili  tusileteane  maambukizi”,alisea  Shilole.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Ujerumani yanyakua Kombe la nne la Dunia

Abu Bakr al-Baghdadi: Nguo ya ndani ya kiongozi wa IS 'iliibiwa' kufanya uchunguzi wa DNA

HILI NDILO BIFU KUBWA KATI YA RIHANA NA NICK MINAJ.