Kifo cha Papa Wemba Chazua Utata...Wadai Aliwekewa Sumu Kwenye Mic...Tazama Hii Video Ikionyesha Tukio Nzima la Kubadilishiwa Mic


DOWNLOAD UDAKU SPECIAL APP HAPA
Mtandao wa Kinshasa-makomba.com ametoa shutuma kuwa mwimbaji Papa Wemba aliyefariki wiki iliyopita kwa kuangaka jukwani ghafla hakufariki kwa kifo cha kawaida bali amewekewa sumu kwenye mic aliyekuwa akiimbia..Mtandao huo umekwenda mbali zaidi na kuweka video ikionyesha tukio zima jinsi alivyobadilishiwa mic na kuwekewa yenye sumu....

Angalia Video Hapa Chini:
https://youtu.be/JrrV8iWo5L0
 


https://youtu.be/JrrV8iWo5L0

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Ujerumani yanyakua Kombe la nne la Dunia

Abu Bakr al-Baghdadi: Nguo ya ndani ya kiongozi wa IS 'iliibiwa' kufanya uchunguzi wa DNA

HILI NDILO BIFU KUBWA KATI YA RIHANA NA NICK MINAJ.