PAKA MWEUSI AKATIZA UWANJANI CAMP NOU, WAKATI BARCA YAUA 3-0 LA LIGA
Katika mchezo huo, kiungo wa Barca, Javier Mascherano, alitolewa nje kwa kadi nyekundu kipindi cha kwanza, kocha mpya Luis Enrique akiiongoza timu kwa mara ya kwanza, alionyesha mwanzo mzuri.
Wafungaji wa timu ya Barca ni Lionel Messi dakika ya 42 na 64, Munir El Haddadi Moham dakika ya 46.
Maoni
Chapisha Maoni