LAANA: BIBI HARUSI AFANYA UFUSKA BAADA YA KUFUNGA NDOA, AGAWA URODA KWA VIDUME
Habari kubwa iliyotawala katika Kitongoji cha Magomeni Mapipa, jijini Dar es Salaam ni kitendo cha mwanamke mmoja aliyetajwa kwa jina moja la Aluwia (pichani) kufanya ufuska wa aina yake ikiwa ni siku chache baada ya kufunga ndoa, Amani linakupa A-Z.
Gazeti hili lilifanikiwa kuinasa CD hiyo ambayo kwa sasa imezagaa katika mitaa ya Jiji la Dar huku ikigawiwa bure na baada ya kuiangalia, lilikutana na mambo ya ajabu yasiyoweza kufanywa na mtu anayejiheshimu.
Wakilizungumzia sakata hilo, baadhi ya watu waliodai kumfahamu mwanamke huyo walielezea kusikitishwa na kitendo hicho na kusema kuwa, hawakuamini macho yao baada ya kumuona akifanya ufuska huo.
Naye Jamila, jirani wa Aluwia alisema kuwa, imekuwa ni vigumu kwake kudhani jirani yake huyo angeweza kufanya matendo hayo kwani aliamini ni mtu anayejiheshimu sana.
Katika kutaka kujua undani wa ishu hii, Amani lilimtafuta Aluwia kupitia simu yake ya kiganjani, alipopatikana alikuwa mgumu kutoa ufafanuzi wa kisa kizima zaidi ya kukanusha kwa kusema kuwa, anayeonekana kwenye CD hiyo siyo yeye.
Baada ya mwandishi wetu kumbana na kumwambia kuwa anamjua vizuri na kwamba anayeonekana kwenye CD hiyo ni yeye, Aluwia aliamua kukata simu na kuanzia hapo kila alipokuwa akipigiwa, hakupokea.
Maoni
Chapisha Maoni