Lowassa: CCM sio baba yangu wala mama yangu…Hotuba yote ya Lowassa iko hapa SIKILIZA YOTE HAPA NA DOWNLOAD

 Baada ya jina lake kukatwa katika Uchaguzi uliofanyika hivi karibuni huko mjini Dodoma, Leo UKAWA wamempokea Rasmi Lowassa katika chama cha CHADEMA na amechukua kadi ya chama cha CHADEMA leo hii akiwa yeye na mke wake.

11753668_923904514355476_2014434252078666928_n

Katika hotuba yake Lowassa ameongea mambo mengi sana, Lowassa kasema kuwa CCM sio baba yake wala mama yake hivyo haoni sababu ya kukihama chama hicho, Isikilize hotuba yake yote hapa chini 
http://www.hulkshare.com/thechoicetanzania/hotuba-nzima-ya-lowassa-akikaribishwa-ukawa-the-choice

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Ujerumani yanyakua Kombe la nne la Dunia

Abu Bakr al-Baghdadi: Nguo ya ndani ya kiongozi wa IS 'iliibiwa' kufanya uchunguzi wa DNA

HILI NDILO BIFU KUBWA KATI YA RIHANA NA NICK MINAJ.