Ujerumani imenyakuwa Kombe la Dunia kwa mara ya nne na kuwa timu ya kwanza ya Ulaya kulitwaa kombe hilo katika ardhi ya Amerika Kusini baada ya kuishinda Argentina goli moja kwa sifuri katika fainali Washangiliaji waliomimika kwa maelfu kuangalia mechi hiyo ya aina yake walikuwa wakiishangiria Argentina, huku zaidi ya raia 100,000 wa Argentina wakiripotiwa kumiminika nchini Brazil kupitia mpakani na baharini, lakini hilo halikuwadumaza Wajerumani. Mario Götze ndiye aliyeweka kimiani goli la kwanza na la pekee katika dakika 113 na hivyo kuiandika nchi yake kwenye kitabu cha historia ya ushindi wa Kombe la Dunia. Kwa mara ya kwanza Ujerumani ilishinda Kombe hilo mwaka 1954, kisha 1974 na 1990, wakati huo bado ikiwa imegawika kati ya mashariki na magharibi. Ushindi wa mara hii ni wa kwanza tangu mashariki na magharibi kurudi tena kuwa taifa moja la Jamhuri ya Shirikisho la Ujerumani. Ujerumani ndiyo timu ya kwanza ya Ulaya kushinda Kombe la Dunia katika ardhi ya Amerika y
Haki miliki ya picha Image caption Vikosi vya muungano vya Syria (SDF) vinavyoongozwa na wapiganaji wa Kikurdi vinasema majasusi waliiba nguo za ndani za Abu Bakr al-Baghdadi ambayo ilitumiwa kufanya uchunguzi wa chembe chembe za vinasaba, DNA kabla auawe. Kamanda wa mwandamizi wa SDF Polat Can anadai kuwa wapelelezi wao walichangia kwa kiasi kikubwa juhudi za kupata maficho ya kiongozi wa kundi la Islamic State (IS) kabla ya oparesheni ya vikosi maalum vya Marekani nchini Syria. Serikali ya Tanzania yalaumiwa kuhusu wakimbizi wa Burundi Asili ya binaadamu wa leo 'yagunduliwa Botswana' Rais mstaafu Kenya atibiwa hospitalini, sio mara ya kwanza Baghdadi alijilipua na kujiua mwenyewe wakati wa oparesheni ya kumsaka. Marekani imepuuza jukumu la vikosi vya Kikurdi katika oparesheni hiyo. Akizungumzia oparesheni hiyo Oktoba 27, Rais wa Marekani Donald Trump alisema vikosi hivyo "vilisaidia" kutoa habari lakini akaongeza hawakufanya ''jukumu lolote
Wasanii wawili wenye majina makubwa zaidi duniani Nicki Minaj pamoja na Rihanna wana ugomvi ambao chanzo cha ugomvi huo. Hit maker wa single ya ‘Pills N Potions‘ amesema amechukizwa na kitendo cha msanii mwenzake Rihana kuharibu urafiki wake kati ya yeye na na msanii Drake Baada ya Drake kuachana na Drake,msani drake hasikiki kabisa,inasemekana Nick minaji anaweza kumwita Rihanna na wazungumze juu ya swala hili alilomfanyia rafiki yake Drake,Siku moja kwenye vyombo vya habari vya marekani Nick alikariria akisema ‘One day, I will run away with Drake and get married, but right now it’s just a fantasy.’ Drake pamoja na Rihhana waliacha mwezi mmoja uliopita baada ya kutokea ugomvi baina yao na kufanya kusambaratika kwa uhusiano wao
Maoni
Chapisha Maoni