NAPE ALIVYOLIPUKA BUNGENI LEO



Katika kipindi cha kuuliza maswali kwa wagombea nafasi za Upika,Mbunge mpya wa jimbo la Mtama Nape Nnauye aliyeuliza swali lilotafsiriwa na wabunge kuwa ni la kejeli na vijembe hali iliyomfanya mwenyekiti wa muda wa kikao Adrew Chenge kusema kuwa Swali la NAPE siyo Swali.Hata Ole Medeye wa chamdema alipopata nafasi alisema kuwa kinachomsumbua Nape ni utoto!

Hali ilikuwa hivi:

Nape: Nakushukuru, naitwa Nape mbunge wa Mtama. Kumbukumbu zinaonyesha ulishawahi kutolewa na ndugu Lema una tuhuma za ubaguzi, sijui tabia hizo umeshaa

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Ujerumani yanyakua Kombe la nne la Dunia

Abu Bakr al-Baghdadi: Nguo ya ndani ya kiongozi wa IS 'iliibiwa' kufanya uchunguzi wa DNA

HILI NDILO BIFU KUBWA KATI YA RIHANA NA NICK MINAJ.