BREAKING NEWS : RAIS MAGUFULI AFUTA SHEREHE ZA UHURU MWAKA HUU

Rais John Pombe Magufuli amefutilia mbali sherehe za uhuru zinazoazimishwa kila mwaka 
Sherehe hizi ni moja ya sherehe zinazotumia hela nyingi na maonesho yasiyokuwa na maana kama kuvunja mawe kwa vichwa
Badala yake siku hiyo itatumika kwa kufanya usafi ili kukabiliana na ugonjwa wa kipindu pindu 
Sasa wale wazee wa ten percent tumejipanga mwaka huu mtaikoma na bado.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Ujerumani yanyakua Kombe la nne la Dunia

Abu Bakr al-Baghdadi: Nguo ya ndani ya kiongozi wa IS 'iliibiwa' kufanya uchunguzi wa DNA

HILI NDILO BIFU KUBWA KATI YA RIHANA NA NICK MINAJ.