EMIRATES WAIONJA JOTO YA JIWE FUMUA FUMUA YA RAIS DR. MAGUFULI SOMA HAPA HABARI KAMILI


Fumua fumua yamabadiliko ya Rais Dr. Magufuli hatimaye imewakumba Shirika la Ndege la Emirates ambalo sasa limepunguza safari zake za kuja Bongo kutokana na agizo la Magufuli la Maofisa wa Serikali kutosafiri nje ya bongo bila ya ruhusa maalum.

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Ujerumani yanyakua Kombe la nne la Dunia

Abu Bakr al-Baghdadi: Nguo ya ndani ya kiongozi wa IS 'iliibiwa' kufanya uchunguzi wa DNA

HILI NDILO BIFU KUBWA KATI YA RIHANA NA NICK MINAJ.