HILI NDILO JAMBO LILILOMKUTA MSANII AY, INASIKITISHA SANA



AY ambaye kwa sasa yupo jijini Nairobi, Kenya, ameiambia Bongo5 kuwa anashangaa kugundua kuwa namba yake ya simu inapatikana wakati chip anayo yeye na haipo kwenye simu.

Fundi Frank ni miongoni mwa marafiki wa AY walioombwa fedha na mtu huyo
Kuna mtu amehack namba yangu ya Tigo anaomba watu pesa

HIZI NI BAADHI YA TWEET ZA AMBWENE YESSAYA

— Ambwene AY (@AyTanzania) January 12, 2015Niko Kenya line yangu iko off but nashangaa huko Tanzania iko ON na inatumika

— Ambwene AY (@AyTanzania) January 12, 2015Kufuatia tukio hilo, Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba ameziagiza mamlaka husika kufuatilia haraka jambo hilo.

@Tigo_TZ: @JMakamba @AyTanzania tunalipeleka swala hili kwenye idara husika lifanyiwe uchunguzi.”>>>lipatiwe ufumbuzi.— January Makamba (@JMakamba) January 12, 2015

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Ujerumani yanyakua Kombe la nne la Dunia

HILI NDILO BIFU KUBWA KATI YA RIHANA NA NICK MINAJ.

Abu Bakr al-Baghdadi: Nguo ya ndani ya kiongozi wa IS 'iliibiwa' kufanya uchunguzi wa DNA