DUNIA INA MAMBO: DAWA YA KUKAMATA WEZI YAZUA BALAA...WAHUSIKA WAPAGAWA NA KUANZA KULA NYASI!
![](http://3.bp.blogspot.com/-3veYQwbRYwQ/VEV3VsvWSVI/AAAAAAAAs3I/5Ik9ZVllw_c/s640/sangoma1.jpg)
likiwa ni kuzungumzia wizi unaoendeshwa na watu wasiojulikana.Inadaiwa wizi wa kuvunja maduka umekithiri kijijini hapo, baada ya wanakijiji hao kuwasili eneo la mikutano, walielezwa kusudio la kengele kuwa ilikuwa ni kutokana na kukithiri kwa matukio ya uhalifu.
Miongoni
mwa waliovunjiwa duka ni Ayubu Wambura, anayedaiwa kuleta mganga kutoka
Busia nchini Kenya kuwabaini wahusika, hivyo kila mmoja aliombwa kunywa
dawa ya mganga huyo au kuacha maana ni hiyari.
Maoni
Chapisha Maoni