MAKAMUA: WAKALI KWANZA LIMEBAKI JINA TU


Makamua akihojiwa na Global TV Online.

MAKALA NA ANDREW CARLOS

WAKALI kwanza ni moja kati ya makundi ambayo yalitikisa sana katika muziki wa Bongo Fleva mwaka 2006-2009. Kundi hili lilibebwa na vichwa vyenye madini, Josline, Makamua na Q-Jay.
Mashabiki wengi walipenda nyimbo zao na miongoni mwa wimbo ambao ulitikisa sana ni pamoja na ule wa Natamani.
Makamua, mmoja kati ya vichwa vilivyokuwa vikiunda kundi hili juzikati alifanya mahojiano na Global TV Online, amewakumbushia vitu vingi, tujiunge naye:…

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

SASA HII NI NGONO BONGO MUVI.... Video ya Irine Uwoya na Rich wakifanya YAO..LIVE

Abu Bakr al-Baghdadi: Nguo ya ndani ya kiongozi wa IS 'iliibiwa' kufanya uchunguzi wa DNA

BEIJING DAXING: UWANJA MKUBWA WA KIMATAIFA WA NDEGE CHINA WAFUNGULIWA, HATARIIII!