CHATU MKUBWA AUAWA ARUSHA JIONI HII, AFUNGWA KITAMBAA CHENYE MANENO YA KIARABU!


 
  Chatu akiwa anatambaa pembeni ya ukuta kuingia ndani ya nyumba hiyo huku wananchi wakimshangaa…
 
  Chatu akiwa anatambaa pembeni ya ukuta kuingia ndani ya nyumba hiyo huku wananchi wakimshangaa
 Chatu akiwa ametumbukia ndani ya nyumba hiyo kupitia tundu la ukutani
 Hicho ni kitambaa ambacho alikuwa amefungwa chatu huyo mkiani.
 Chatu akiwa amekatwa katwa na wananchi 

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Nani aligharamia ukarabati wa kifahari wa ofisi ya Mkuu wa mkoa

Ndege ya C-130: Mabaki yake yapatikana yakiolea katika maji Chile