Simu za Nokia kuja kivingine na mfumo wa Android Nougat


Nokia imeripotiwa kuwa kwenye mipango ya kurejea kwenye soko la smartphone na simu mpya zinazotumia mfumo mpya wa Google, Android Nougat, version 7.0.

Simu hizo zinatarajiwa kuingia sokoni mwishoni mwa mwezi huu na zinatarajiwa kuzuia majina vumbi kama simu mpya za Samsung, Galaxy S7, S7 Edge na S7 Active.

Zitakuwa na screen yenye ukubwa inchi 5.2.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Ujerumani yanyakua Kombe la nne la Dunia

Abu Bakr al-Baghdadi: Nguo ya ndani ya kiongozi wa IS 'iliibiwa' kufanya uchunguzi wa DNA

HILI NDILO BIFU KUBWA KATI YA RIHANA NA NICK MINAJ.