Rais Magufuli Atengua Uteuzi wa Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya TIB...Amteua Huyu Kushika Nafasi!





UTEUZI: Rais John Magufuli amemteua Prof. Palamagamba Kabudi kuwa Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Benki ya TIB.

Ametengua uteuzi wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi hiyo Prof. William Lyakurwa

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Ujerumani yanyakua Kombe la nne la Dunia

Abu Bakr al-Baghdadi: Nguo ya ndani ya kiongozi wa IS 'iliibiwa' kufanya uchunguzi wa DNA

HILI NDILO BIFU KUBWA KATI YA RIHANA NA NICK MINAJ.