LULU MICHAEL ATEMBEA NIDO NJE NJE...ANGAIKA KUZIFUNIKA BILA MAFANIKIO, JIONEE PICHA HAPA

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh3aPU5UeavP1GTYE8BHGm1Ut0hHccPTlO9QqDmmw9lUb_0vOQ8GUQDnU2UuxRMZoImiElVt3PFtzY_GriL2MRFHA9YWk-lEMX0hmKn4Xxd6zCeTjBgCeDSrppSfkhi40PJ3P9xITcSepcu/s640/elizabeth-michael-lulu-0.jpg

Stori: Hamida Hassan
MSANII wa filamu Bongo, Elizaberth Michael ‘Lulu’ hivi karibuni aliwashangaza watu baada ya kuvukwa na gauni alilokuwa amevaa na kulazimika kutembea huku sehemu kubwa ya kifua chake ikiwa wazi.
Tukio hilo lilitokea hivi karibuni katika kiwanja kimoja kichopo mjini Arusha ambapo mmoja wa watu aliyemtia machoni Lulu aliyeomba hifadhi ya jina lake alisema:
“Yaani nilimuona Arusha akiwa amevaa gauni lililoacha wazi matiti yake, kaficha chuchu tu na inavyoonekana gauni lilimvuka, akaonekana akihangaika kulirudishia bila mafanikio.”
SHUKA CHINI KUTOA MAONI YAKO

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Ujerumani yanyakua Kombe la nne la Dunia

Abu Bakr al-Baghdadi: Nguo ya ndani ya kiongozi wa IS 'iliibiwa' kufanya uchunguzi wa DNA

HILI NDILO BIFU KUBWA KATI YA RIHANA NA NICK MINAJ.