JIHADHARI NA MATAPELI HAWA ORIGINAL ONA MBINU ZAO NA NAMBA ZAO ZA SIMU


CHUNGA SANA NAMBA HIZI   ZASIMU ZINAZOTUMIWA NA MATAPELI JIJINI DAR NA MIKOA MINGINE..!
1.0715-426676- Huyu hujifanya yupo Rufiji fundi mkuu
2.0762-601106- Huyu hujifanya meneja wa mladi
3.0783-068678- Huyu ndiye mtafuta Tenda
4.0789-897474- Huyu anajifanya Afsa Suma JKT
Wanambinu nyingi za kumuingiza mjini mtu na tayari wameshawaibia wananchi wengi sana hujifanya wapo 
Hata hivyo taarifa zilizonaswa na blog hii zinasema kuwa Jeshi la Polisi Kinondoni limeanza msako wa chini kwa chini kuanzi tarehe ya leo 28/5/2014 ili kuwanasa watuhumiwa hawa kwani wamekuwa kero kubwa kwa wananchi.
XDEEJAYZ

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Ujerumani yanyakua Kombe la nne la Dunia

Abu Bakr al-Baghdadi: Nguo ya ndani ya kiongozi wa IS 'iliibiwa' kufanya uchunguzi wa DNA

HILI NDILO BIFU KUBWA KATI YA RIHANA NA NICK MINAJ.