Picha: Real Madrid ya Hispania baada ya kutwaa ubingwa wa kombe lao la 11 la UEFA walivyo pokewa katika Jiji la Madrid


Kabla ya usiku wa May 28 2016 kwa kuwafunga wapinzani wao Atletico Madrid katika mchezo wa fainali ulio pigwa katika jiji la Milan, Italia uwanja wa San Siro, ilikuwa ni fainali inayohusisha timu kutoka jiji moja la Madrid.
34BD773C00000578-3614796-image-a-77_146450669793234BD6C1E00000578-3614796-image-a-45_1464504191608
34BDC59D00000578-0-image-a-85_1464511821930
Real Madrid walifanikiwa kutwaa Kombe lao 11, huku Atletico wakiambulia kushindwa kuweka rekodi ya kutwaa Kombe hilo kwa mara ya kwanza katika historia ya klabu yao, Real Madrid walifanikiwa kuifunga Atletico kwa mikwaju ya penati 5-3, hiyo ni baada ya dakika 120 kumalizika kwa sare ya goli 1-1.
34BD605100000578-3614796-image-a-4_1464503170204
Real Madrid waliwasili Hispania katika jiji la Madrid wakiwa na Kombe lao la 11 la UEFA nakupokelewa na mashabiki wengi walio jitokeza kwa wingi katika jiji hilo la Madrid.
34BD6C4700000578-3614796-image-a-44_1464504148538
34BD672500000578-3614796-image-a-9_1464503301070
34BDAE9600000578-3614796-image-a-89_1464511870207
34BD673D00000578-3614796-image-a-8_1464503271387
34BD756B00000578-3614796-image-a-71_1464506198205
34BD6C4C00000578-3614796-image-a-48_1464504236963

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Ujerumani yanyakua Kombe la nne la Dunia

Abu Bakr al-Baghdadi: Nguo ya ndani ya kiongozi wa IS 'iliibiwa' kufanya uchunguzi wa DNA

HILI NDILO BIFU KUBWA KATI YA RIHANA NA NICK MINAJ.