DHAHABU YA YAUA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO 20 HUKO KALOLE


Zaidi ya wachimbaji 20 wa dhahabu huko Kalole wilyani Msalala mkoani Shinyanga wanasadikiwa kufariki juzi tarehe 17/04/2015 baada ya kurundikana eneo moja lililosadikiwa kuwa na dhahabu nyingi na hivyo wote kuanza kuchimba eneo hilo moja bila utaratibu na ndipo kifusi kilipo waangukia na kuwafunika.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Ujerumani yanyakua Kombe la nne la Dunia

Abu Bakr al-Baghdadi: Nguo ya ndani ya kiongozi wa IS 'iliibiwa' kufanya uchunguzi wa DNA

HILI NDILO BIFU KUBWA KATI YA RIHANA NA NICK MINAJ.