WALICHOKISEMA MAPROFESA WA UDSM KUHUSU ISHU YA DIAMOND KUPEWA SHAHADA YA UDAKTARI

Ni kama wiki moja sasa tangu kuenea kwa habari ya kua Diamond Platnumz atapewa shahada ya Udaktari katika chuo kikuu cha Mlimani. Baada ya taarifa hizo kuenea sana tumebahatika kupata mahojiano ya maprofesa wawili kutoka chuo cha Mlimani wakizungumzia ishu hii.

Wote wawili wamekubali kua Diamond ni msanii mkubwa lakini hajafikia hadhi ya kupewa shahada ya heshima ya udaktari.Angepata tu endapo tu angefanya jambo ubwa na kusaidia jamii na kwamba kuimba na kupendwa na watu si kigezo kikubwa cha kupewa tuzo hizo.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Ujerumani yanyakua Kombe la nne la Dunia

Abu Bakr al-Baghdadi: Nguo ya ndani ya kiongozi wa IS 'iliibiwa' kufanya uchunguzi wa DNA

HILI NDILO BIFU KUBWA KATI YA RIHANA NA NICK MINAJ.