NEWSSS...RAIS MAGUFULI AOKOA TENA Milioni 700 ZA SAFARI YA VIGOGO HUKO ULAYA


Raisi Magufuli amezuia maafisa 50 waliokuwa wasafiri kwa ajili ya kwenda kushirika kwenye ziara ya Jumuiya ya Madola.

Badala yake ameruhusu maafisa wanne tu na kuokoa jumla ya sh milioni 700 ambazo zingetumika kulipia posho za safari na kugharamia ticket za ndege.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Nani aligharamia ukarabati wa kifahari wa ofisi ya Mkuu wa mkoa

Marekani kuwekeza dola bilioni 14 Afrika