HIVI NDIVYO ARGENTINA WALIVYOPOKONYWA UBINGWA WA COPA AMERICA! MESSI ATOA MACHOZI KULIKOSESHA TAIFA LAKE UBINGWA ZAIDI YA MIAKA 20
Pata kiungo
Facebook
X
Pinterest
Barua pepe
Programu Nyingine
Chile ndio mabingwa wa Copa America
Chile
Chile imewashinda Argentina kupitia kwa mikwaju ya penalti na kushinda kombe kubwa zaidi kati ya nchi za Marekani ya kusini la Copa Amerika.
Sanchez
Hili ndilo kombe la kwanza la kimataifa kuwahi kushindwa na Chile. Chile Chile ambayo ni waandalizi waliwashinda Argentina mabao 4-1 kupitia mikwaju ya penalti baada ya timu zote kukosa kufunga.
Wachezaji wa Argentina Ni miaka 22 tangu Argentina washinde kombe lolote kubwa kwenye mashindano ya kandanda ya kimataifa. Mashabiki Mchezaji wa Arsenal Alexis Sanchez alifunga bao la ushindi baada ya mshambuliaji wa Argentina Gonzalo Higuain kupiga nje huku mkwaju wa Ever Banega ukinyakwa na kipa Claudio Bravo. Vidal Awali Higuain alikuwa amekosa bao la wazi aliposalia na kipa baada ya dakika 90 za mchezo. Messi kwa mara nyingine ashindwa kuipatia taifa lake taji Sanchez karibia afunge katika dakika za ziada. Higuain akikosa penalti Miongoni mwa maelfu ya mashabiki waliojaa kuishabikia timu yao ni wachimba mgodi 33 waliokwama chini ya mgodi kwa wiki kadhaa mwaka 2010,katika kisa kilichovutia hisia nyingi duniani.
Tasnia ya filamu nchini huenda ikawa na mengi yanayofanyika nyuma ya pazia wakati wa majaribio ya kutafuta shots nzuri zenye uhalisia hasa kwenye scene za mapenzi! Lakini napata kigugumizi kikali kwa kile kilichoonekana kwenye video hii inayoaminika kuwa ni kipande cha filamu mpya inayotarajia kutoka iliyowakutanisha Rich na Irene Uwoya ambao wanaonekana wakibadilishana mate kwa kiss za uweli. Je, uhalisia huu kwenye filamu za Bongo unakubalika kimaadili? Bila shaka haukubaliki hapa kwetu Tanzania. Bado hatuko huko Hollywood na naamini kipande hicho kitatolewa. ASANTE KWA KUPATA HUDUMA ZETU,TUNAKUOMBA BOFYA LIKE KUUNGANA NASI FACEBOOK
Haki miliki ya picha Image caption Vikosi vya muungano vya Syria (SDF) vinavyoongozwa na wapiganaji wa Kikurdi vinasema majasusi waliiba nguo za ndani za Abu Bakr al-Baghdadi ambayo ilitumiwa kufanya uchunguzi wa chembe chembe za vinasaba, DNA kabla auawe. Kamanda wa mwandamizi wa SDF Polat Can anadai kuwa wapelelezi wao walichangia kwa kiasi kikubwa juhudi za kupata maficho ya kiongozi wa kundi la Islamic State (IS) kabla ya oparesheni ya vikosi maalum vya Marekani nchini Syria. Serikali ya Tanzania yalaumiwa kuhusu wakimbizi wa Burundi Asili ya binaadamu wa leo 'yagunduliwa Botswana' Rais mstaafu Kenya atibiwa hospitalini, sio mara ya kwanza Baghdadi alijilipua na kujiua mwenyewe wakati wa oparesheni ya kumsaka. Marekani imepuuza jukumu la vikosi vya Kikurdi katika oparesheni hiyo. Akizungumzia oparesheni hiyo Oktoba 27, Rais wa Marekani Donald Trump alisema vikosi hivyo "vilisaidia" kutoa habari lakini akaongeza hawakufanya ''jukumu lolote ...
Haki miliki ya picha GETTY IMAGES Image caption Uwanja mkubwa wa ndege China una ukubwa wa viwanja 98 vya soka Uwanja mpya mkubwa wa ndege wa kimataifa China wenye thamani ya $11bn umefunguliwa siku chache kabla ya maadhimisho ya miaka 70 nchini humo. Uwanja wa ndege wa Daxing uliopo katika mji mkuu Beijing umefunguliwa rasmi na rais Xi Jinping hii leo. Una ukubwa wa mita 700,000 mraba - wenye ukubwa wa viwanja 98 vya soka linasema shirika la habari China Daily. Uwanja uliopo hivi sasa Beijing ni wa pili wenye shughuli nyingi duniani baada ya ule wa Atlanta, kwa mujibu wa wa baraza la viwanja vya ndege. lakini maafisa wanasema uwanaj mpya wa ndege unahitajika kuondsha shinikizo kutoka kwenye uwanja huo wa kimataifa Beijing unaojaa watu kupita kiasi. Vifahamu viwanja vya ajabu vya mpira Picha: 'Sekunde kadhaa kabla ya ajali ya ndege' Aliyefunga kilo 25 za dhahabu kwenye mapaja akamatwa uwanja wa ndege Kwa Picha: Kituo kipya cha uwanja wa ndege wa Julius Nyerere...
Maoni
Chapisha Maoni