Tasnia ya filamu nchini huenda ikawa na mengi yanayofanyika nyuma ya pazia wakati wa majaribio ya kutafuta shots nzuri zenye uhalisia hasa kwenye scene za mapenzi! Lakini napata kigugumizi kikali kwa kile kilichoonekana kwenye video hii inayoaminika kuwa ni kipande cha filamu mpya inayotarajia kutoka iliyowakutanisha Rich na Irene Uwoya ambao wanaonekana wakibadilishana mate kwa kiss za uweli. Je, uhalisia huu kwenye filamu za Bongo unakubalika kimaadili? Bila shaka haukubaliki hapa kwetu Tanzania. Bado hatuko huko Hollywood na naamini kipande hicho kitatolewa. ASANTE KWA KUPATA HUDUMA ZETU,TUNAKUOMBA BOFYA LIKE KUUNGANA NASI FACEBOOK
Haki miliki ya picha Image caption Vikosi vya muungano vya Syria (SDF) vinavyoongozwa na wapiganaji wa Kikurdi vinasema majasusi waliiba nguo za ndani za Abu Bakr al-Baghdadi ambayo ilitumiwa kufanya uchunguzi wa chembe chembe za vinasaba, DNA kabla auawe. Kamanda wa mwandamizi wa SDF Polat Can anadai kuwa wapelelezi wao walichangia kwa kiasi kikubwa juhudi za kupata maficho ya kiongozi wa kundi la Islamic State (IS) kabla ya oparesheni ya vikosi maalum vya Marekani nchini Syria. Serikali ya Tanzania yalaumiwa kuhusu wakimbizi wa Burundi Asili ya binaadamu wa leo 'yagunduliwa Botswana' Rais mstaafu Kenya atibiwa hospitalini, sio mara ya kwanza Baghdadi alijilipua na kujiua mwenyewe wakati wa oparesheni ya kumsaka. Marekani imepuuza jukumu la vikosi vya Kikurdi katika oparesheni hiyo. Akizungumzia oparesheni hiyo Oktoba 27, Rais wa Marekani Donald Trump alisema vikosi hivyo "vilisaidia" kutoa habari lakini akaongeza hawakufanya ''jukumu lolote ...
Haki miliki ya picha GETTY IMAGES Image caption Uwanja mkubwa wa ndege China una ukubwa wa viwanja 98 vya soka Uwanja mpya mkubwa wa ndege wa kimataifa China wenye thamani ya $11bn umefunguliwa siku chache kabla ya maadhimisho ya miaka 70 nchini humo. Uwanja wa ndege wa Daxing uliopo katika mji mkuu Beijing umefunguliwa rasmi na rais Xi Jinping hii leo. Una ukubwa wa mita 700,000 mraba - wenye ukubwa wa viwanja 98 vya soka linasema shirika la habari China Daily. Uwanja uliopo hivi sasa Beijing ni wa pili wenye shughuli nyingi duniani baada ya ule wa Atlanta, kwa mujibu wa wa baraza la viwanja vya ndege. lakini maafisa wanasema uwanaj mpya wa ndege unahitajika kuondsha shinikizo kutoka kwenye uwanja huo wa kimataifa Beijing unaojaa watu kupita kiasi. Vifahamu viwanja vya ajabu vya mpira Picha: 'Sekunde kadhaa kabla ya ajali ya ndege' Aliyefunga kilo 25 za dhahabu kwenye mapaja akamatwa uwanja wa ndege Kwa Picha: Kituo kipya cha uwanja wa ndege wa Julius Nyerere...
Maoni
Chapisha Maoni