INATIA HURUMA.....HIVI NDIVYO WATU WALIVYO NUSURIKA NA KIVUKO CHA KIGAMBONI MALA BAADA YA KUZIDISHA ABIRIA


Kigambon majanga  abiria imebidi wajitose baharini kuokoa maisha yao baada ya kivuko kupoteza muelekeo asubuhi hii baada ya kuzidiwa na idadi kubwa ya mizigo na abiria

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Nani aligharamia ukarabati wa kifahari wa ofisi ya Mkuu wa mkoa

Ndege ya C-130: Mabaki yake yapatikana yakiolea katika maji Chile