HII NDO JEURI YA PESA ...Chameleone anunua viatu ‘pea 2’ vyenye thamani ya shilingi milioni 20 za Kibongo.
Mkali huyu juzi kupitia akaunti zake za Instagram na Facebook, ameweka picha za raba zake alizo nunua za Nike Air Mag zenye thamani ya dola za Kimarekani 9000 hadi 12500 sawa na shilingi milioni 20 za Kitanzania
Maoni
Chapisha Maoni