WALICHOKISEMA MAPROFESA WA UDSM KUHUSU ISHU YA DIAMOND KUPEWA SHAHADA YA UDAKTARI

Wote
wawili wamekubali kua Diamond ni msanii mkubwa lakini hajafikia hadhi ya
kupewa shahada ya heshima ya udaktari.Angepata tu endapo tu angefanya
jambo ubwa na kusaidia jamii na kwamba kuimba na kupendwa na watu si
kigezo kikubwa cha kupewa tuzo hizo.
Maoni
Chapisha Maoni