HII NDO OFISI YA DIAMOND PLATNUMS ALIYO IFUNGUA LEO HII...NZURI SANA

12446106_1676170549290934_1789205908_n
Mama Diamond akiwa kwenye ofisi ya mwanae
Kwa Diamond lakini, hamu yake ya kujibrand kuwa msanii mkubwa na wa kimataifa, imemfanya aamue kuwa na ofisi yenye hadhi yake.
Kupitia Instagram, hitmaker huyo wa ‘Utanipenda’ alishare picha ya kwanza ya ofisi yake ya kuvutia baada ya mama yake kumtembelea.

“Guess who Visited in my Office today!…. Mama Platnumz,”
aliandika

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

SASA HII NI NGONO BONGO MUVI.... Video ya Irine Uwoya na Rich wakifanya YAO..LIVE

Abu Bakr al-Baghdadi: Nguo ya ndani ya kiongozi wa IS 'iliibiwa' kufanya uchunguzi wa DNA

Ndege ya C-130: Mabaki yake yapatikana yakiolea katika maji Chile