Hichi ni Kiasi cha Pesa Kilichoingia Tangu Daraja la Kigamboni Lianze Kutumika




Tangu daraja jipya la Kigamboni lianze kutumika rasmi tarehe 19/04/2016 limekusanya jumla ya shilingi bilioni 1.3 kutokana na tozo za vyombo vya usafiri.

Daraja hilo liligharimu dola za kimarekani milioni 136 ambazo ni takribani bilioni 300 kwenye ujenzi wake.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Nani aligharamia ukarabati wa kifahari wa ofisi ya Mkuu wa mkoa

Ndege ya C-130: Mabaki yake yapatikana yakiolea katika maji Chile

BRAZIL NAYO ETI YATINGA NUSU FAINALI KWA MBINDE KUCHUANA NA UJERUMANI NUSU FAINALI JULY 08, 2014