Machapisho

RAY ABANWA KUHUSU MTOTO WA JOHARI, AFUNGUKA KUWA

Picha
SIKU   chache baada ya kuripotiwa na gazeti pacha la hili, Risasi Jumamosi kuwa staa wa sinema za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’ alibeba mimba na kuzaa kwa siri huku tetesi zikivuma kuwa baba wa mtoto huyo ni msanii mwenzake, Vincent Kigosi ‘Ray’, mambo yameanza kunoga baada ya Ray kufunguka kuwa hahusiki kwa lolote.   Staa wa filamu Bongo,Vincent Kigosi ‘Ray’. Hivi karibuni gazeti hili lilimbana staa huyo anayetamba sokoni kwa sasa na Filamu ya Chicken Head baada ya kubambwa nje ya Ukumbi wa Mwalimu Nyerere, Posta jijini Dar, kulikokuwa na sherehe za Tuzo za TAFA ambapo aliweka wazi. Awali, Ray alisema si busara wala hataki... kuzungumza mengi juu ya madai hayo kwani hahusiki kwa lolote na kwamba watu wasimtafsiri kutokana na maneno yasiyokuwa na ukweli huku akimtaja mpenzi wake wa sasa, Chuchu Hans kuwa ndiye mwanamke wake wa maisha. Ray alifunguka kuwa, kati ya mambo yanayomchukiza ni ama kuzushiwa au kuhusishwa na mambo ambayo yanamfanya aonekane...

Muhammadu Buhari ndiye rais mpya wa Nigeria

Picha
Rais mpya wa Nigeria aliyeapishwa rasmi hii leo Muhammadu Buhari amesema, Ufisadi, ugaidi, ukosefu wa ajira na matatizo ya umeme ni mambo ambayo yanapewa kipaumbele katika masuala ya kisiasa ya Nigeria. Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari Buhari, mwenye umri wa miaka 72 aliapishwa rasmi mjini Abuja Nigeria, mbele ya takriban wageni 20,000 walioalikwa wakiwemo marais zaidi ya 50 na wawakilishi wa serikali kuu ulimwenguni. Buhari alijipatia ushindi wa asilimia 54 ya kura katika uchaguzi uliofanyika tarehe 28 mwezi Machi, dhidi ya rais wa zamani Goodluck Jonathan aliyeiongoza Nigeria kwa miaka mitano. "Tunakabiliana na changamoto chungu nzima, ukosefu wa usalama, ufisadi, pamoja na ukosefu wa umeme na mafuta, haya ndio mambo tunayopaswa kuyashughulikia mara moja," alisema rais Buhari katika hotuba yake. Rais mpya wa Nigeria Muhammadu Buhari akiapishwa mjini Abuja Rais Buhari pia ameahidi kupambana na kundi la wanamgambo wa Boko Haram waliosaba...

WASANII WENYE PESA NYINGI TANZANIA

Picha
  When it comes to money, Bongo music is one of the most lucrative but you’d never tell that listening to the artistes pour their hearts out for their loved ones. Bongo Flavour acts rake in the money in truck loads and they don’t spend it on bling only, they invest their money. Sylvia Ambani and Herieth Makwetta looked at some of the richest acts in Tanzania. 1. NASEEB ABDUL (DIAMOND) He stayed in the shadows for long looking for a break but now that the limelight has been trained on him, he has proved that he belongs at the top of the music charts. He finally made a debut in 2009 with his hit song “Kamwambie”. He is one of the most expensive musicians not just in Tanzania but the region and this does not seem to put promoters off as he is on the stage on a weekly basis. Want him for a show, you will have to pay him $4000 (Sh350,000). And that’s after a bargain. This has enabled him to make a fortune for himself in a very short period of time. He own...

HARUSI YA MTOTO WA MIZENGO PINDA ILIVYOMTOA MACHOZI LULU KATIKA HARUSI YAKE JANA

Picha
Ikumbukwe kwamba Chrispine Mizengo Pinda na Adeline Ngugi wote wamehitimu pamoja katika chuo cha kimataifa cha Diplomasia kilichopo kurasini jijini Dar es Salaam amabapo walisoma Post Graduate in Management of Foreign Relations. Bwana Harusi Chrispine Mizengo Pinda akiingia ukumbini wakati wa Sherehe ya ndoa yake na Bi.Adeline iliyofanyaka katika ukumbi wa JK Hall viwanja vya Saba saba Jijini Da r es Salaam Jana. Marafiki wa karibu wa Chrispine na Adeline waliowakilisha wanafunzi wa chuo cha Diplomasia katika Hrusi hiyo wakifurahi Pamoja walipokuwa katika sherehe hiyo wakiongozwa na Khadija,Hassan ,Zitta,Lulu,Diana,Kennedy,Ngamanya,Mwanakatwe na Glady Hassan Abbas kutoka ofisi ya Rais Ikulu ambaye ni mkuu wa mawasiliano wa BRN Tanzania akifurahia Jambo na Kennedy Ndosi wa Masma Blog katika Harusi Hiyo Binti huyu mwenye gauni la bluu Lulu Rodgers (katikati) ndiye aliyedaiwa kumwaga chozi kwa furaha baada ya kuona wawili hao ambao ni marafiki ...

DHAHABU YA YAUA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO 20 HUKO KALOLE

Picha
Zaidi ya wachimbaji 20 wa dhahabu huko Kalole wilyani Msalala mkoani Shinyanga wanasadikiwa kufariki juzi tarehe 17/04/2015 baada ya kurundikana eneo moja lililosadikiwa kuwa na dhahabu nyingi na hivyo wote kuanza kuchimba eneo hilo moja bila utaratibu na ndipo kifusi kilipo waangukia na kuwafunika.

ZITO KABWE AFANYA KUFURU SONGEA ..WATU WAFURIKA KWENYE MKUTANO WAKE TAZAMA PICHA

Picha

MENGI NA MKEWE KYLN WALIVYO FUNGA NDOA YA KIHISTORIA

Picha
Mr and Mrs Mengi wakiwa na furaha siku ya Ndoa yao  Mimi Dr. Reginald Mengi naahidi kumpenda Jacqueline Ntuyabaliwe katika shida na raha hadi kifo kitutenganishe Ilikuwa ni furaha, upendo wa dhati na shangwe pomoni. Baada ya miaka kadhaa ya uhusiano thabiti na uliokuwa umetawaliwa na upendo usio kifani, Mwenyekiti Mtendaji wa IPP Limited, Dr. Reginald Mengi na Miss Tanzania, 2000, Jacqueline Ntuyabaliwe wamefunga ndoaWawili hao wamebahatika kupata watoto wawili mapacha pamoja. Watoto hao wa kiume nao waliungana na wazazi wao kushuhudia wazazi wao wakibadilisha viapo vya ndoa.